Mzee wa kurekebisha
Senior Member
- Sep 29, 2012
- 178
- 169
Niliipenda sana timu yangu hii, lakini kutokana na mambo yanayofanya na baadhi
ya Viongozi nimeamua kujiondoa Simba. Ni mimi Mzee wa Kurekebisha wa hapa
Jamii Forums, nawaachia timu kina MO.
Niliipenda sana timu yangu hii, lakini kutokana na mambo yanayofanya na baadhi
ya Viongozi nimeamua kujiondoa Simba. Ni mimi Mzee wa Kurekebisha wa hapa
Jamii Forums, nawaachia timu kina MO.
Duuh!
Hapana best bali nimejikuta namshangaa ni shabiki wa aina gani huyu sababu kwangu naona ni kitu kigumu sana kuhama timu tena hasa ile niipendayo toka moyoni.Best yamekukuta ?
sababu kwangu naona ni kitu kigumu sana kuhama timu tena hasa ile niipendayo toka moyoni.
Hahahaaa. Lol.
Kwani we unaweza kuhama?
Hakika Best.Hatari sana Lakini salama best
Kwani uzuri ulokuwa moyoni kwa dhati kabisa haufutiki......hata ukafanyaje
Na kipendacho moyo hakina mbadala
Hakika Best.
πππHapa umenipatia home work Yaani msimamo na ukweli wa jambo la rohoni