JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Wamestahili...Hongera zao
KabisaWamestahili...
💯Hongera zao
Liverpool na Man zUtd tusipoangalia tutakutwa na kupitiwa na awa marobotiGoli pekee la ushindi la Nottingham Forest lililowekwa wavuni na Taiwo Anoniyi dhidi ya Arsenal, leo Mei 20, 2023 ni rasmi limeifanya Manchester City kutwaa ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na michezo miwili mkononi
Arsenal ambaye inashika nafasi ya pili, ina pointi 81 na imesaliwa na mchezo mmja wakati Man City ina pointi 85, ikiwa na maana kuwa hakuna timu nyingine inayoweza kufikisha pointi hizo katika ligi hiyo msimu huu wa 2022/23.
Man City inatwaa ubingwa huo mara ya tatu mfululizo ikiwa pia ni mara ya tano katika misimu sita iliyopita chini ya Kocha Pep Guardiola.
Waremba mwandiko haoArsenal na Mamelod ni ndugu wale
Gladiola ni mchezaji gani, sijawahi msikia kwenye hiyo timu akichezaGladiola apewe maua yake
Hakuna aliyewapeleka final ya UEFA city na pesa zaoHivi, baada ya mipesa kuingia Man City, kuna mwalimu tofauti na Pep aliyeshika akashindwa kufanya vizuri?
Pep, alisubiri, akachungulia, baada ya mwaka mmoja, akaona City imeiva, inapesa, akaingia!
Newcastle nao, pesa imeanza kuongea! Wanahitaji uwekezaji wa miaka mingi kidogo!
Mkuu wewe ni kama mm.Hivi, baada ya mipesa kuingia Man City, kuna mwalimu tofauti na Pep aliyeshika akashindwa kufanya vizuri?
Pep, alisubiri, akachungulia, baada ya mwaka mmoja, akaona City imeiva, inapesa, akaingia!
Newcastle nao, pesa imeanza kuongea! Wanahitaji uwekezaji wa miaka mingi kidogo!
Nani sasa?Hakuna aliyewapeleka final ya UEFA city na pesa zao
Asno ndiyo kitu gani mkuu au ni aina mpya ya wadudu!!Asno ni kama baskeli ya kunolea visu tu kelele kibao,iko palepale.View attachment 2629858
Asno ndio arsenal hiyo mzee wetu,[emoji1787]Asno ndiyo kitu gani mkuu au ni aina mpya ya wadudu!!