Rasmi Mchezo wa Simba vs Raja Casablanca Kupigwa saa 1 usiku

Rasmi Mchezo wa Simba vs Raja Casablanca Kupigwa saa 1 usiku

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
🚨Ni rasmi Kuwa CAF wamekataa ombi la simba kucheza saa 10 jioni mechi yao dhidi ya Raja Casablanca,na Badala yake mchezo utakua saa 1 usiku,hii ni kutokana na CAF kumiliki hatimiliki katika hatua ya makundi.sasa itakuwaje majameni
4FA42804-396E-4C36-9732-BF69663155C7.jpeg
 
Mechi ikichezwa usiku simba hatoboi

Jua la saa 10 lilikuwa linawatesa sana waarabu

Mwarabu umuweke usiku kwenye mataa na kaupepooo katamu halafu utegemee utatoboa
 
[emoji599]Ni rasmi Kuwa CAF wamekataa ombi la simba kucheza saa 10 jioni mechi yao dhidi ya Raja Casablanca,na Badala yake mchezo utakua saa 1 usiku,hii ni kutokana na CAF kumiliki hatimiliki katika hatua ya makundi.sasa itakuwaje majameni
View attachment 2516290
Mkuu hata wacheze saa nne ama nane usiku mwarabu atakamuliwa sharubu kwa mkapa.
 
Mechi ikichezwa usiku simba hatoboi

Jua la saa 10 lilikuwa linawatesa sana waarabu

Mwarabu umuweke usiku kwenye mataa na kaupepooo katamu halafu utegemee utatoboa
Mbona kwao ndo kuna joto zaid inakuaje liwatese
 
CAF wapuuzi sanaa iweje Pyramid wamecheza saa 9 ya usiku kwa saa za egupt ? Chama kimejawa na rushwa sanaa
 
Back
Top Bottom