Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Huijui simba vizuri wewe hasa linapokuja swala la kimataifa kipindi hiki, simba walishapata password ya kivipi washinde nyumbani iwe kwa heri au kwa shaliMechi ikichezwa usiku simba hatoboi
Jua la saa 10 lilikuwa linawatesa sana waarabu
Mwarabu umuweke usiku kwenye mataa na kaupepooo katamu halafu utegemee utatoboa
Kwa Mkapa gani hiyo ambayo saa 1 kuna kuwa na joto kuliko saa kumi? ๐ ๐ ๐Haijalishi muda...tena usiku ndo watajua hawajui joto lake...bora saa kumi
Kama uto na Tp englaba#GuvuMoya watapigwa tu Raja.
Mkuu hata wacheze saa nne ama nane usiku mwarabu atakamuliwa sharubu kwa mkapa.[emoji599]Ni rasmi Kuwa CAF wamekataa ombi la simba kucheza saa 10 jioni mechi yao dhidi ya Raja Casablanca,na Badala yake mchezo utakua saa 1 usiku,hii ni kutokana na CAF kumiliki hatimiliki katika hatua ya makundi.sasa itakuwaje majameni
View attachment 2516290
Muda wa vitochi huo[emoji599]Ni rasmi Kuwa CAF wamekataa ombi la simba kucheza saa 10 jioni mechi yao dhidi ya Raja Casablanca,na Badala yake mchezo utakua saa 1 usiku,hii ni kutokana na CAF kumiliki hatimiliki katika hatua ya makundi.sasa itakuwaje majameni
View attachment 2516290
Mbona kwao ndo kuna joto zaid inakuaje liwateseMechi ikichezwa usiku simba hatoboi
Jua la saa 10 lilikuwa linawatesa sana waarabu
Mwarabu umuweke usiku kwenye mataa na kaupepooo katamu halafu utegemee utatoboa
Mbona kwao ndo kuna joto zaid inakuaje liwatese
[emoji102]Haijalishi muda...tena usiku ndo watajua hawajui joto lake...bora saa kumi
Kwa aina hii ya wachezaji mlionao?#GuvuMoya watapigwa tu Raja.
๐ ๐ ๐ ๐[emoji102]
Mmmmh how?Kwao hawachezi mpira juani.