comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Aah aah aah!nilikua nimshabiki mkubwa sana wa manchelona.. yaani man u na barca.
ila kwa sasa man u naitoa, ni underdog tuu, imezidiwa hadi na spurs, haiwezekani eti crystal palace na man u ni big match..
man u ni timu mbovu sana ndani ya England..
nabaki na barca rasmi
Hata hao Barca watakupa presha bure
Kwani Crystal Palace haikumsimamisha Man City mwaka jana hadi isiwe big match Bosi?haiwezekani eti crystal palace na man u ni big match.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shenzi nilisema mlitubahatisha lkn timu nyie hamna pale.
hata baraca wawe vilaza vipi, hawawezi kufikia level za manyau unitedHata hao Barca watakupa presha bure
Wewe sio shabiki aiseenilikua nimshabiki mkubwa sana wa manchelona.. yaani man u na barca.
ila kwa sasa man u naitoa, ni underdog tuu, imezidiwa hadi na spurs, haiwezekani eti crystal palace na man u ni big match..
man u ni timu mbovu sana ndani ya England..
nabaki na barca rasmi
hata baka iwe mbovu vipi, haiwezi kua kama man u... halafu mimi ni barca kitambo. soma post vizurWewe sio shabiki aisee
Juzi Barca nao wametoka kupigwa na kitimu cha ajabu.....kwahiyo utakuwa ni mtu wa kuhamahama?
Kwahiyo post yako ni furahisha genge kama ww ni barca?hata baka iwe mbovu vipi, haiwezi kua kama man u... halafu mimi ni barca kitambo. soma post vizur
Mkuu, mbona umechelewa hivo? Karibu sana japo na sie sasa hivi tuna tatizo la kocha na bodi ya klabu.Nilikua nimshabiki mkubwa sana wa Manchelona.. yaani Man U na Barca.
Ila kwa sasa Man U naitoa, ni underdog tuu, imezidiwa hadi na Spurs, haiwezekani eti Crystal Palace na Man U ni big match..
Man U ni timu mbovu sana ndani ya England..
Nabaki na Barca rasmi