Rasmi Ngongo Jina la mtaa

Rasmi Ngongo Jina la mtaa

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Wandugu salamu,

Katika hali ya kushangaza Ngongo apewa jina katika mtaa anaoishi.

Ujumbe wa Mwenyekiti na Katibu Kata wa Kata yetu leo umenipatia heshima kubwa sana.Mtaa wetu umepewa heshima ya kuitwa jina langu.Wanachi wengi walipewa fursa ya kutoa au kupendekeza majina ya mitaa walipendekeza jina langu kwa kauli moja.

Ifahamike Ngongo si mwanasiasa wala kiongozi wa taasisi yoyote.Wananchi wengi walipendekeza jina langu kwasababu.

Ngongo si mbinafsi.
Ngongo si mdini
Ngongo si mkabila
Ngongo ni mtu wa watu wote.
Ngongo anashiriki na kushirikiana na jamii yote bila ubaguzi wa kidini,kabila au ukanda.

Kwakuwa wananchi wameniheshimisha nimeamua kuweka taa za Solar mtaa wote.Zoezi hilo litaanza na kumalizika kabla ya mwisho wa mwezi August 2022.

Habari hizi ziwafikie Mohamed Said Mshana Jr zumbemkuu
 
Hongera boss.
JamiiForums229013944.jpg
 
Kumbe mitaa kupewa ni habari, mimi nililipia nikapewa mtaa na wala siringi.
 
Wandugu salamu,

Katika hali ya kushangaza Ngongo apewa jina katika mtaa anaoishi.

Ujumbe wa Mwenyekiti na Katibu Kata wa Kata yetu leo umenipatia heshima kubwa sana.Mtaa wetu umepewa heshima ya kuitwa jina langu.Wanachi wengi walipewa fursa ya kutoa au kupendekeza majina ya mitaa walipendekeza jina langu kwa kauli moja.

Ifahamike Ngongo si mwanasiasa wala kiongozi wa taasisi yoyote.Wananchi wengi walipendekeza jina langu kwasababu.

Ngongo si mbinafsi.
Ngongo si mdini
Ngongo si mkabila
Ngongo ni mtu wa watu wote.
Ngongo anashiriki na kushirikiana na jamii yote bila ubaguzi wa kidini,kabila au ukanda.

Kwakuwa wananchi wameniheshimisha nimeamua kuweka taa za Solar mtaa wote.Zoezi hilo litaanza na kumalizika kabla ya mwisho wa mwezi August 2022.

Habari hizi ziwafikie Mohamed Said Mshana Jr zumbemkuu
Inakuongezea nini katika mustakabali wa maisha yako?
 
Mimi sijatoa chochote.Wananchi kwa hiyari yao wamenitunuku bureee.
Unaweka Solar mtaa mzima kisha useme hujatoa chochote! Itakuwa ushatoa vingi vikubwa hadi kukubalika hapo mtaani.
 
Inakuongezea nini katika mustakabali wa maisha yako?

1.Julius Nyerere Way Harare Zimbabwe
2.Julius Nyerere road Namibia
3.Julius Nyerere street South Africa
4.Sokoine road Arusha.
5.Ally Hassan Mwinyi road Dar
6.Mwai kibaki road
7.Bibi Titi
8.Ngongo Road imekuwa nongwa ebu,waulize Mwl Nyerere,Mwai kibaki,Bibi Titi wameongezewa nini !.

Usikasirike Ngongo sasa ana Mtaa kama Bibi Titi alivyo na Barabara.
 
1.Julius Nyerere Way Harare Zimbabwe
2.Julius Nyerere road Namibia
3.Julius Nyerere street South Africa
4.Sokoine road Arusha.
5.Ally Hassan Mwinyi road Dar
6.Mwai kibaki road
7.Bibi Titi
8.Ngongo Road imekuwa nongwa ebu,waulize Mwl Nyerere,Mwai kibaki,Bibi Titi wameongezewa nini !.

Usikasirike Ngongo sasa ana Mtaa kama Bibi Titi alivyo na Barabara.
Nimeuliza tu inakuongezea nini? Huku uswazi kwetu wapo wanaogombea jina la mtaa sasa sielewi kuna nini wanakipata.
 
Nimeuliza tu inakuongezea nini? Huku uswazi kwetu wapo wanaogombea jina la mtaa sasa sielewi kuna nini wanakipata.
1. Heshima.
2. Kumbukumbu (hadi vilembwe watalikuta jina la Babu yao lipo)
3. Maarufu hata daladala utasikia shusha hapo Ngongo.
4. Burdani jina lako likitajwa tajwa kila mara ni burdani tosha.
 
1. Heshima.
2. Kumbukumbu (hadi vilembwe watalikuta jina la Babu yao lipo)
3. Maarufu hata daladala utasikia shusha hapo Ngongo.
4. Burdani jina lako likitajwa tajwa kila mara ni burdani tosha.
Hongera.
 
Wandugu salamu,

Katika hali ya kushangaza Ngongo apewa jina katika mtaa anaoishi.

Ujumbe wa Mwenyekiti na Katibu Kata wa Kata yetu leo umenipatia heshima kubwa sana.Mtaa wetu umepewa heshima ya kuitwa jina langu.Wanachi wengi walipewa fursa ya kutoa au kupendekeza majina ya mitaa walipendekeza jina langu kwa kauli moja.

Ifahamike Ngongo si mwanasiasa wala kiongozi wa taasisi yoyote.Wananchi wengi walipendekeza jina langu kwasababu.

Ngongo si mbinafsi.
Ngongo si mdini
Ngongo si mkabila
Ngongo ni mtu wa watu wote.
Ngongo anashiriki na kushirikiana na jamii yote bila ubaguzi wa kidini,kabila au ukanda.

Kwakuwa wananchi wameniheshimisha nimeamua kuweka taa za Solar mtaa wote.Zoezi hilo litaanza na kumalizika kabla ya mwisho wa mwezi August 2022.

Habari hizi ziwafikie Mohamed Said Mshana Jr zumbemkuu
zumbemkuu kapewa jina la mtaa pale Korogwe mtaa wa Manundu
 
Back
Top Bottom