Rasmi: ni Simba sc vs Jwaneng galaxy football club

Simba ukija unacheza mpira ndio furaha yake.Huwa inafungwa na vitimu vidogo vinavyoikamia na huwa havichezi mpira zaidi ya kujaribu kuumiza wachezaji.
Simba kwisha habari yake, hii timu zaidi ya playstation.
 
Mkuu, naomba ufafanuzi. Tunajua kuwa kuna timu mbili zilikuwa zinakutana,michezo miwili, mshindi wa jumla ndiye atakutana na Simba .Sasa huyu, imekuwaje?
Mechi ya kwanza walishinda 2-0 wakiwa nyumbani leo wamepgwa 1-0 wakiwa Afrika ya kati wamepita kwa aggregate
 
Yanga wakisha tolewa kwenye michuano ya klabu bingwa jpili, alafu waanze utopolo wao wa kuwapokea wapinzani wa simba aisee! ntawashusha thamani sana hawa mbuzi ..
unaimia vipi na yanga nyie si mlishangilia gor la rivers subir nyakati yenu ndo mtajia hamjui
 
unaimia vipi na yanga nyie si mlishangilia gor la rivers subir nyakati yenu ndo mtajia hamjui
itakua aibu kubwa sana kwenu, hakuna hata shabiki mmoja wa Simba aliyewapokea rivers united na wakatu furahisha, nyie mmewapokea mpaka basi na wote tumewachapa .. [emoji23][emoji23]
 
Huu mche

Huu mchezo unaweza kuwa mgumu sana
 
Hakuna timu ndogo kimataifa ni mwendo wa kukaza tu.
Udi Songo walitukatisha furaha yetu ule msimu.
 
ahh wapii. hapo ganda la ndizi
Mnyama akienda kwa kujiamini, kuwa amekutana na timu dhaifu ,atarudi shingo ipo chini,yasijirudie ya Ud Songo.[emoji881][emoji881][emoji881][emoji123][emoji123][emoji123] mojA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…