Rasmi nitakuwa mshabiki wa Westham

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Kitendo Cha Westham kumsajili jana Said Benrahma kutoka Brentford fc kwa mkopo kimenivutia Sana nakuanzia sasa HIV nitakuwa mfuatiliaji mzuri wa Westham.

Huyu mwamba (Said Brentford) nilikuwa Ni fan wangu mkubwa nilikuwa naifuatilia Brentford team ya daraja la Kwanza la uingereza kwasababu ya Huyu mwamba.Kitu ambacho kinanivutia kutoka kwake Ni style play yake jamaa anacheza Kama Hazard alafu anaudambwi udambwi Kama Ronaldinho alafu anafunga magoals.

Jamaa anacheza nafasi ya Winga wa kushoto at the same time kwenye mechi Hiyo hiyo akawa no 10 (Kiungo mshambuliaji) kiufupi Hana utofauti na Eden Hazard, kitu ambacho kilikuwa kinanishangaza kwanini huyu mwamba anacheza ligi daraja la Kwanza la uingereza wakati ana uwezo mkubwa Sana?Mwamba yupo Brentford lingerd yupo Man u 🀣🀣

Namshukuru Mungu kilio changu kakisikia na sasa huyu mwamba yupo Premier league.Ukitoa team yangu ya Chelsea team nitakuwa naifuatilia Ni Westham.
 
hongera kwa kuwa na timu 3 kwa wakati mmoja
  1. wasafi FC
  2. chelsea FC
  3. westham united
πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mzee baba naona muda kidogo hatujaongea nashukuru kwa comment yako soon nitakuja kwenye jukwaa lako pendwa ila Nikusahihishe kidogo me sio Team Wasafi me Ni fan wa Wasafi sijui unajua tofauti ya hivo vitu?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mzee baba naona muda kidogo hatujaongea nashukuru kwa comment yako soon nitakuja kwenye jukwaa lako pendwa ila Nikusahihishe kidogo me sio Team Wasafi me Ni fan wa Wasafi sijui unajua tofauti ya hivo vitu?
huwezi kuwa team fulani bila ya kuwa shabiki
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mzee baba naona muda kidogo hatujaongea nashukuru kwa comment yako soon nitakuja kwenye jukwaa lako pendwa ila Nikusahihishe kidogo me sio Team Wasafi me Ni fan wa Wasafi sijui unajua tofauti ya hivo vitu?
karibu tena bwana ziyech
 
karibu tena bwana ziyech
🀣🀣🀣🀣🀣 Game yetu na yenu bahati mbaya kwenu inakuja ikiwa Ziyech na Pulisic wapo fit no injury kushoto Kuna Ben chilwell kipa Kuna mikono sita Eduardo Mendy sio Kepa Tena.
 
huwezi kuwa team fulani bila ya kuwa shabiki
Daemusin Kwa hapo bongo ukiwa team fulani maanayake lazima uchukie wasanii wengine au usishabikie kabisa kwa maana nyingine unakuwa mfuasi wewe kazi nikusifia tu no kukosoa ndio maana nikasema me sio Team Wasafi Bali me Ni fan wa Wasafi.
 
Na leo Wesstham wamefanya comeback ya hatari
 
Na leo Wesstham wamefanya comeback ya hatari
Mzee baba umeona lile kombola mzee Kama vile alikuwa anataka kuuwa mtu.Hiyo ndio West ham alafu mwamba Said Benrahm hakucheza angecheza ingekuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…