Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Afrika bado tuna kazi kubwa katika udanganyifu. Okwi ameanza kucheza ligi kuu kwa 2009 na kaja Simba 2010 akionekana kijeba kabisa. Ina maana alianza kucheza ligi kuu akiwa na miaka 17?
Acha kulinganisha Mbappe na makapi...huyo kazaliwa ulaya, rekodi zake ni sahihi.Hata Mbappe mwongo kwa umri wake hawezi kuwa na miaka 18
Acha kulinganisha Mbappe na makapi...huyo kazaliwa ulaya, rekodi zake ni sahihi.
Huo umri Okwi amedanganya,anakaribia miaka 30Hata Mbappe mwongo kwa umri wake hawezi kuwa na miaka 18
Sio MavugoBora Okwi kuliko Blagnoni
Huo umri Okwi amedanganya,anakaribia miaka 30
Tanzania kama ligi ya China na MarekaniTanzania imekuwa kiwanda cha wastaafu?
Hata wachezaji wa Mbao waliifunga Yanga,Naona kama kawaida ya viongozi wenu kila msimu mnasajili timu mpyaMuhimu anacheza na kuwafunga vyura
Usipende kukariri mambo wewe Libolo FC aka Mezani FC.Muhimu anacheza na kuwafunga vyura
Mavugo bado tunamhitaji Msimbazi,Sio Mavugo
Usipende kukariri mambo wewe Libolo FC aka Mezani FC.
Unazungumzia WAZEE ambayo walikuwa na Impact na mafanikio tofauti kwenye misimu yao 3 ya mwisho kwa kila mmoja..Tambwe na okwi mzee nan
Simba wanafanya kimya kimya ili waje kutangaza surprise ila kaingia Jana usiku