Nchi za Ulaya na Marekani zina upumbavu mwingi sana. Yaani kwenye karne ya 21 bado wanafanya vitendo vya Plundering, Looting and Piracy vya karne za kale huko!
Walichokifanya kwa Abramovich na Warusi wengine ni vitendo vya kihuni! Mwanzilishi wa vita vya Ukraine ni Vladimir Putin! Sasa iweje ukawanyang'anye watu wengine mali zao? Kwa nini ukavifungie vilabu vya michezo vya Urusi kushiriki kwenye mashindano?
Putin...! Nyoosha hao mashoga wote mpaka wakufahamu wewe ni nani.