Rasmi sasa: Binadamu wa kwanza duniani aliishi Tanzania

Rasmi sasa: Binadamu wa kwanza duniani aliishi Tanzania

Cherenganya

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
2,309
Reaction score
1,785
Habari wanajamvi wenzangu

Ni siku nyingine tena Alhamdulilah ninaendelea kupumua pumzi ya BURE ambayo bila shaka ni wajibu wangu kuitendea haki ili kesho akhera, nipate cha kujitetea mbele ya Muumba wa Mbingu saba.

Asubuhi ya leo nikiwa katika safari yangu kuelekea kule ninapopatia mkate wangu wa kila siku, nikafanikiwa kuisikia taarifa kupitia MAGIC FM katika kipindi chao cha Asubuhi cha Good morning Magic, Taarifa hii ambayo imenifanya kujivunia kuwa mtanzania, ni kwamba imethibitika rasmi sasa kwamba binadamu wa kwanza aliishi Africa na si tu Africa bali Tanzania kwenye Bonde la Oltupai maarufu kwa kimombo kama Oldivai Gorge, Arusha. Ripoti hii imethibishwa na wataalamu wa mambo ya kale.

Ni muda sasa tutembee kifua mbele kwa kuzaliwa katika nchi hii ambayo inasemekana kuwa nchi ya pili kwa vivutio Duniani, miongoni mwa nchi tatu tu duniani zinapopatikana gesi ya HELIUM, nchi pekee inayotoa madini aina ya Tanzanite duniani, nchi mwenyeji wa ndege aina ya Flamingo, nchi pekee yenye chura anayebeba mimba duniani, nchi pekee unaweza ukaendelea...

Nakupenda Tanzania
 
nimesikia pia BBC asubuhi nikiwa kwa njia kama wewe kuelekea ile sehemu ninapo andalia mkate wa kila siku, imekaaje hii lakini wakuu ?
 
Sijui tunanufaikaje kwa kuwa binadamu wa kwanza aliishi tz.
 
Finally Ma ethiest wamepata nchi ya kuhiji..
 
haha hahaa..matendo ya mtu kama wema sepetu ..na yule mmiliki wa kebys kumzalisha mke wa balozi wake " bila shaka ni ushahidi tosha wa hiki ulichokiongea hapa
Kina kitu unakitafuta,ina maana mimi nililala na mke wa balozi wangu kwli..
 
Wamaasai ndo wana wa Israel halisi ....hawa wengne copy tu.....laana ya kuyakataa maandiko ya muumba wao ndo yamewafanya mpaka kesho wanatanga tanga tu porini na nasaba ya vizaz vyao(Africanus) wanaendelea kuwa watumwa ulimwenguni !!

Maasai
Zulu
Shona & Ndebele
Igbo
......these are lost Tribes of Jews ..wana mila zile za Ancient Jews ila hawakumbuki asili yao.
 
Back
Top Bottom