Mtajijua wenyewe kwani wamewalazimisha muwapekekee hiyo mizigo? Kubangaiza kwenu ndo kwa kulaumiwaHapo napata mashaka je mzigo ujipote au gari kuharibika nani atakuwa responsible ku cover hizo garama.
Pili itachukuwa mda gani gari ya huyo davo kurejea boda aliko achwa
We we we ishia hapo hapo,unataka serikali ikose mapatotahadhari muhimu kipndi hiki na wao pia waishie mpakani basi maisha yanaenda..
Kama mliwasaidia ndio muwaue?Hawa wapuuzi wamechinjana sana.. sisi tumewatunza kama wakimbizi miaka mingi..
Ila wao corona kidogo tu wanatubagua.. na hapo hapo utakuta hawawazuii wachina kuingia rwanda au waitaliano
kwani ni sisi tunapeleka mizigo mnadani au ni wao wanaagiza!!!Hivi mnajua maana ya kuifunga mipaka?? Hata hiyo huruma ya kukuvushia huo mzigo wako nadhani ni ubinadamu tosha kabisa. Waagizaji walitakiwa wajue kuwa, mzigo wake utabakia Dar au Tangah hadi ili gonjwa lipite[i so msipige kelele.
Mzigo wanachukua kilaini Nairobi baada ya kusafirishwa na SGR kutoka Mombasa. Sema jengine.Ningekuwa rais ningepiga marufuku malori ya tz kwenda huko alafu tuone watakula ujeuri wao
Sent using Jamii Forums mobile app