heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
We unazinguwa tu trading is not for everyone, afu unavyosema hakuna tajir wa mt4 5 sema kimoyo moyoThere is no need kurudia rudiia izo reply, umenielewa vizuri kabisa nlichokwambia na nmekuwekea dau mezan, mm nataka uwe kama mfano kwa wenzako na mnaowaaminisha kwamba mnaishi kwa forex, nilishafanya ivi vitu sana apa JF, akiwemo ata uyo anaitwa sjui Heartbearts tushafanya nae, what i want ni uwe mfano kwa wengine, so wala usizunguke sana, eka USDT 800 zako vizuri tuweke contract pale etheruem mshindi achukue kibunda chake maaana tunasumbuana sana na nyie vijana wa forex umu, sasa acha uwe mfano, take the contra
We unazinguwa tu trading is not for everyone, afu unavyosema hakuna tajir wa mt4 5 sema kimoyo moyoThere is no need kurudia rudiia izo reply, umenielewa vizuri kabisa nlichokwambia na nmekuwekea dau mezan, mm nataka uwe kama mfano kwa wenzako na mnaowaaminisha kwamba mnaishi kwa forex, nilishafanya ivi vitu sana apa JF, akiwemo ata uyo anaitwa sjui Heartbearts tushafanya nae, what i want ni uwe mfano kwa wengine, so wala usizunguke sana, eka USDT 800 zako vizuri tuweke contract pale etheruem mshindi achukue kibunda chake maaana tunasumbuana sana na nyie vijana wa forex umu, sasa acha uwe mfano, take the contra
mm npo online kila sku mwaka mzima, twende kazi, weka 800 upande wako naweka 1000, then ntaepxose history yako apa na ikitokea umeweza kupata faida ya kuishi kila mwezi basi unachukua USDT za 1000 na graph ikilala kwenye loss unipe tu USDT zangu 800 mapema
au niongeze dau?W ub
We unazinguwa tu trading is not for everyone, afu unavyosema hakuna tajir wa mt4 5 sema kimoyo moyo
infact sio ata lazima trader, most brokers dont have that cash nyingi ztagoma kukupa elaW ub
We unazinguwa tu trading is not for everyone, afu unavyosema hakuna tajir wa mt4 5 sema kimoyo moyo
Elewa kwamba all orders za trading zpo public and am here to tell you hakuna mtu anafanya maisha kwa mt4 ama 5, na ukitaka twende tuweke ela etheruem smart contract uje na anaetengeneza maisha kwa trading uchukue kibunda mbna kitu kirahisistakehigh kama haupo profitable just jifunze kwa waliofanikiwa, trading ni trick and rules usipozijuwa ita kumelt kweli kweli, trading imebadili maisha ya wtu wengi into worse from terrible, na imewaangusha wengi, tafuta maarifa sahihi acha kubishana vitu vya ajabu, watu hawaitaji kujuwa contracts sijui nini lengo ni pesa bila kuvunja sheria
nadhan context imeeleweka vizuri, atleast ifike stage iwe 2 way side tusiwe tunabishana sanaWe haueleweki unataka nn
vp hutaki kua sample kuonyesha watu kwamba forex mna mafanikio? au kelele ni nyingi?We haueleweki unataka nn
Pow ni utapelivp hutaki kua sample kuonyesha watu kwamba forex mna mafanikio? au kelele ni nyingi?
sema wewe jamaa huelewekagi , ukishika hili unarukia lile, you seem knowledgeable but lack articulation in expressing your thoughts effectivelyElewa kwamba all orders za trading zpo public and am here to tell you hakuna mtu anafanya maisha kwa mt4 ama 5, na ukitaka twende tuweke ela etheruem smart contract uje na anaetengeneza maisha kwa trading uchukue kibunda mbna kitu kirahisi
Bado freemassons nako tutokeeBaada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.
Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.
Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
π π π infact nakuonea huruma, ungeanzisha biashara ata kama ni ndogo kwa lifespan uliotumia kuhangaika na forex na kusumbua watu na screenshot baada ya kubahatisha trade 1, saaahv ungekua na full time income, ona sasa ata USDT 800 za kupoteza huna:Pow ni utapeli
sema wewe jamaa huelewekagi , ukishika hili unarukia lile, you seem knowledgeable but lack articulation in expressing your thoughts effectively
Ushatoka kwenye trading sasa hivi upo kwenye Smart contract
Kazi kweli kweli
Ujuaji mwingi ni mzigosmart contracts inaonekana jina geni? smart contracts ni mikataba ya block chain it works as an online lawyer! kwa mfano nimemwambia jamaa aweke ela kule ili atakaekua anaongea facts apewe hela tuliowekeana, mfano kama yeye akiwa sahihi basi dola zangu znaenda kwake anakua kama ameshinda argument
- the reason nmesema ivo ni kwa sababu tushasumbuana sana na watu wa forex humu, i know the forex market kwa ukubwa unaotakiwa, naweza nkakaa pale BOT mahesabu ya pairs kama sio KSHTSH sio issue so nkiona mtu anakuja na story za mt4/5 kwanza namuonea huruma alafu pia mnatumia uongo kwa watu ambao hawana uelewa wa hizi market which is so bad,
- sio tu apa forum bali ata nje, watu mpaka wanakopesha magari yaaani mmekua so bad people, bila vitu kama ivi watu hawawezi kukaa kwenye mstari
Usd 800 trade 1 hioπ π π infact nakuonea huruma, ungeanzisha biashara ata kama ni ndogo kwa lifespan uliotumia kuhangaika na forex na kusumbua watu na screenshot baada ya kubahatisha trade 1, saaahv ungekua na full time income, ona sasa ata USDT 800 za kupoteza huna:
- Unaona sasa umemuamini broka ambae yeye mwenyewe anakutegemea kiuchumi
Sawa mkuu , unaijua Solidity for Ethereum una uzoefu nayo najua Basic za JavaScript nataka kujifunza Solidity nipe.Shule bosismart contracts inaonekana jina geni? smart contracts ni mikataba ya block chain it works as an online lawyer! kwa mfano nimemwambia jamaa aweke ela kule ili atakaekua anaongea facts apewe hela tuliowekeana, mfano kama yeye akiwa sahihi basi dola zangu znaenda kwake anakua kama ameshinda argument
- the reason nmesema ivo ni kwa sababu tushasumbuana sana na watu wa forex humu, i know the forex market kwa ukubwa unaotakiwa, naweza nkakaa pale BOT mahesabu ya pairs kama sio KSHTSH sio issue so nkiona mtu anakuja na story za mt4/5 kwanza namuonea huruma alafu pia mnatumia uongo kwa watu ambao hawana uelewa wa hizi market which is so bad,
- sio tu apa forum bali ata nje, watu mpaka wanakopesha magari yaaani mmekua so bad people, bila vitu kama ivi watu hawawezi kukaa kwenye mstari
Usd 800 trade 1 hio
Ujuaji mwingi ni mzigo