political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Kwenye mechi ya kufuzu world cup kati ya Ukraine na Wales walivyofuzu bale alishangilia sana kuulizwa kwanini unashangilia ivyo wakati wenzako wako kwenye majonzi ya vita akawajibu kuwa huu ni mpira siyo vita amna kuoneana huruma apa.Sidhani kama wataweza maana itatokea mtafaruku mkubwa na kuharibu ladha ya mashindano.
Hata kama wewe ni mjinga wa kiwango cha juu kabisa! ila kuna mazingira unatakiwa kuuficha huo ujinga wako.Yanga watacheza lini word cup wakuu?
Boss! Wakileta maji na umeme pasi na siasa. Akili zitarudi.Hata kama wewe ni mjinga wa kiwango cha juu kabisa! ila kuna mazingira unatakiwa kuuficha huo ujinga wako.
Yani wanaforce tuone matatizo ya wa ukraine yawe ya dunia nzimaHuu ujinga sijui umeanzia wapi. Aibu sanq
Huu ujinga ndio unakoelekeaNa Messi na Cristiano Ronaldo pia waichezee Ukraine na Guardiola awe kocha wa Ukraine...
Hayo mambo yameshafanywa mataifa mengi tu. Na timu zao tunazishabikia na kuzishangilia.Iran Kama anapeleka silaha kuua raia wasiyo na hatia.... Hakuna kuintataine ujinga. Unaweza vipi kuruhusu wimbo wa taifa la Iran upigwe?
Yataje hayo mataifa mkuu.Hayo mambo yameshafanywa mataifa mengi tu. Na timu zao tunazishabikia na kuzishangilia.
Acheni kuwa wajinga, alichokifanya urus ni kile kilichofanywa na wakoloni karune ya 18 kuivamia Afrika. Sasa Kama Kuna mtu anafurahia upumbavu huo ajue kabisa mataifa ya kiafrika yatapata pigo kubwa maana sisi ni wanyonge. Ipo siku yatavamiwa halafu muanze kulalamika wazungu tena.Hayo mambo yameshafanywa mataifa mengi tu. Na timu zao tunazishabikia na kuzishangilia.
Waza maisha yako kwanza unajipa kazi zisizo kuhusuYanga watacheza lini world cup wakuu?
Haina ile, leo kmc chali!!!Waza maisha yako kwanza unajipa kazi zisizo kuhusu
Mmesshidwa nyie mmewasakizia KMC karibu saa moja uone tunavyo wakamua hao vibaraka wenuHaina ile, leo kmc chali!!!