Da Rosa hana maajabu yoyote.Soma ili uelewee napia coach anaajiliwa ili afukuzweView attachment 1684923
Yanga makundi ktk champion league ya Africa toka hujazaliwa mvaa madelaKuogopa nini! Yule nyau mliyewatishia Fc Platinum, au?
Maajabu anayo mama ykoDa Rosa hana maajabu yoyote.
Ni maneno tu mkuu, na wala si lazima iwe haijawahi kutokea Africa.Huyo ndo walisema haijawahi kutokea afrika? [emoji3]
Wewe ndo unakuza mambo sasa.Kuna jinga moja shabiki la Uto nimelitumia hii habari ya kocha mpya wa Simba timu kubwa na bora kwa Africa,na linyewe likanitumia hii picha[emoji116]View attachment 1685044
Mashabiki wa Yanga wanamambo ya ajabu sana.
Yaani Van Gaal awe kocha afu aanze kuwaamkia shkamoo akina Onyango, Wawa na Nyoni??Nikajua atakuja van Gaal. [emoji41]
pole sana bro NJAA KALI HATARI MZEE WA FACTS NI HIVI...alitoka france kazi yake ya kwanza rwanda kaanz akwa dollar 3000 per month akilenga kupata mafanikio,,ka apply simba hataki maisha ya sudan kabisa el merreikh waliambiwa jamaa anaenda tunisia ukiingia facebook wanatukana tu kwa nini kaja tanzania kwa kifupi UTO pambaneni na hali yenuSoma ili uelewee napia coach anaajiliwa ili afukuzweView attachment 1684923
Vp kuhusu yule dada mwenye jina la miti shamba? Mitibazokizaa. Yule wa juzi nae from Burundi. ASIYE NA TIMU MKAJIOKOTEA WOOTE HAWA VI BIBIYaani Van Gaal awe kocha afu aanze kuwaamkia shkamoo akina Onyango, Wawa na Nyoni??
Mbona siku zote wanamwita ramani ya Afrika shida iko wapi? Mengine utani tu, hukumbuki tulivyomsema yule Msenegal aliyetunguka mpaka viongozi wa soka hapa nchini wakaomba msamaha.Kuna jinga moja shabiki la Uto nimelitumia hii habari ya kocha mpya wa Simba timu kubwa na bora kwa Africa,na linyewe likanitumia hii picha[emoji116]View attachment 1685044
Mashabiki wa Yanga wanamambo ya ajabu sana.
Onyango ni bonge la stoper akili nyingi sana.Mbona siku zote wanamwita ramani ya Afrika shida iko wapi? Mengine utani tu, hukumbuki tulivyomsema yule Msenegal aliyetunguka mpaka viongozi wa soka hapa nchini wakaomba msamaha.
Kwamfano nani wakumzuia Simba kwenye atua hii ya makundi kuingia robo final?Safari ya huyu kocha inakufa baada ya Simba kushindwa kuvuka hatua ya makundi.