YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Rastafarian ateuliwa na Raisi mpya Mchungaji Chikwera kuwa mwanashria mkuu wa serikali ya Malawi aapishwa kwa Biblia watu wamshangaa huyo Rasta akiapa kwa Biblia.
Maneno mengine kwenye kiapo anayeapa agoma kuyatamka Jaji muapishaji ajikausha na kupotezea ni kituko fulani hivi
Wanasheria alichofanya huyo Jaji muapishaji ni sahihi kumsainisha kiapo mwenye kuapa kiapo ambacho hajatamka maneno yote ya kiapo kikamilifu?
Naomba wabobezi wa Sheria shusheni nondo .Mtu aki skip maneno kwenye kiapo kuyatamka au kuyabadilisha nje ya yale anayotamka Jaji ayaseme kiapo kinakuwa valid?
Maneno mengine kwenye kiapo anayeapa agoma kuyatamka Jaji muapishaji ajikausha na kupotezea ni kituko fulani hivi
Wanasheria alichofanya huyo Jaji muapishaji ni sahihi kumsainisha kiapo mwenye kuapa kiapo ambacho hajatamka maneno yote ya kiapo kikamilifu?
Naomba wabobezi wa Sheria shusheni nondo .Mtu aki skip maneno kwenye kiapo kuyatamka au kuyabadilisha nje ya yale anayotamka Jaji ayaseme kiapo kinakuwa valid?