Rasta Mpoto abambwa akila nyama mchana kweupee

Rasta Mpoto abambwa akila nyama mchana kweupee

Gang Chomba

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
20,649
Reaction score
4,786
Rasta mashuhuri hapa nchi Mrisho Mpoto mapema wiki hii amebambwa akiwa nyuma ya kiosk kimoja maeneo ya Posta akiwa anakunywa stone tangawizi huku akiudanganya utumbo kwa Sambusa za NYAMA.

Mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa pamoja na mjomba kusimama ktk imani za Rasta za kutokula nyama lakini yeye mara kadhaa amekutwa akigonga vitoweo mbalimbali vikiweno FIRIGISI, PWEZA na mara kadhaa amekutwa akiwa kakumbatia bakuli la supu ya UTUMBO.

''yule nyie hamumjui, yule ana uchu wa nyama kama nini...kwani ile ndo mara yale ya kwanza?''....
Alisikika Dada mmoja ambaye hakuonyesha kushtushwa na uroho wa Mjomba.
 
Ndo maana yake.
Alisema nyama hali ila mchuzi anakunywa.
 
Kala nyama, so what....guys find some more important things to bring to the jamvi.....
 
Rasta mashuhuri hapa nchi Mrisho Mpoto mapema wiki hii amebambwa akiwa nyuma ya kiosk kimoja maeneo ya Posta akiwa anakunywa stone tangawizi huku akiudanganya utumbo kwa Sambusa za NYAMA.

Mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa pamoja na mjomba kusimama ktk imani za Rasta za kutokula nyama lakini yeye mara kadhaa amekutwa akigonga vitoweo mbalimbali vikiweno FIRIGISI, PWEZA na mara kadhaa amekutwa akiwa kakumbatia bakuli la supu ya UTUMBO.

''yule nyie hamumjui, yule ana uchu wa nyama kama nini...kwani ile ndo mara yale ya kwanza?''....
Alisikika Dada mmoja ambaye hakuonyesha kushtushwa na uroho wa Mjomba.


Hii forum imeingiliwa na machizi sasa.
 
Hii inafaa kutolewa kule kwenye magazeti ya udaku......Ijumaa, Kiu, Sani n.k hapa kweli tumeingiliwa!
 
rasta mashuhuri hapa nchi mrisho mpoto mapema wiki hii amebambwa akiwa nyuma ya kiosk kimoja maeneo ya posta akiwa anakunywa stone tangawizi huku akiudanganya utumbo kwa sambusa za nyama.

Mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa pamoja na mjomba kusimama ktk imani za rasta za kutokula nyama lakini yeye mara kadhaa amekutwa akigonga vitoweo mbalimbali vikiweno firigisi, pweza na mara kadhaa amekutwa akiwa kakumbatia bakuli la supu ya utumbo.

''yule nyie hamumjui, yule ana uchu wa nyama kama nini...kwani ile ndo mara yale ya kwanza?''....
Alisikika dada mmoja ambaye hakuonyesha kushtushwa na uroho wa mjomba.
udaku!
 
Hamna udaku. Kwa nini udanganye kuwa huli nyama halafu huko machakani majiani wajipinda?? Shurti watu wawe wanasimamia wanayoyasema pamoja na kwamba haikuwalazimu kujiapiza mbele za wanajamii.
 
Rasta mashuhuri hapa nchi Mrisho Mpoto mapema wiki hii amebambwa akiwa nyuma ya kiosk kimoja maeneo ya Posta akiwa anakunywa stone tangawizi huku akiudanganya utumbo kwa Sambusa za NYAMA.

Mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa pamoja na mjomba kusimama ktk imani za Rasta za kutokula nyama lakini yeye mara kadhaa amekutwa akigonga vitoweo mbalimbali vikiweno FIRIGISI, PWEZA na mara kadhaa amekutwa akiwa kakumbatia bakuli la supu ya UTUMBO.

''yule nyie hamumjui, yule ana uchu wa nyama kama nini...kwani ile ndo mara yale ya kwanza?''....
Alisikika Dada mmoja ambaye hakuonyesha kushtushwa na uroho wa Mjomba.

Kaka umekosa cha kuandika! mwache Mtu wa watu ajinome minyama wewe kumekuuma nini? au unaona anakumalizia nyama
 
Kaka umekosa cha kuandika! mwache Mtu wa watu ajinome minyama wewe kumekuuma nini? au unaona anakumalizia nyama



mh!!!!!!!!!! Lakini nadhani PHILOSOPHY ZA WAAFRIKA ZINA MUSHKERI.
 
wwwdoti majungu doti kom ndio hii sasa.
je kuna haja gani ya sisi kuingilia maisha ya ndani ya Mrisho Mpoto/
Je kama akili nyama tunaathirika kwa kipi?
 
Rasta mashuhuri hapa nchi Mrisho Mpoto mapema wiki hii amebambwa akiwa nyuma ya kiosk kimoja maeneo ya Posta akiwa anakunywa stone tangawizi huku akiudanganya utumbo kwa Sambusa za NYAMA.

Mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa pamoja na mjomba kusimama ktk imani za Rasta za kutokula nyama lakini yeye mara kadhaa amekutwa akigonga vitoweo mbalimbali vikiweno FIRIGISI, PWEZA na mara kadhaa amekutwa akiwa kakumbatia bakuli la supu ya UTUMBO.

''yule nyie hamumjui, yule ana uchu wa nyama kama nini...kwani ile ndo mara yale ya kwanza?''....
Alisikika Dada mmoja ambaye hakuonyesha kushtushwa na uroho wa Mjomba.

Huu udaku tu!!
 
kwani kuna tatizo jamani
kuna watu wengine zile rasta hair ni kama staili ameamua tu kuifanya
 
Is this a constructive idea we can share? Please JF your credibility is ruined with these UDAKU things, Kula NYAMA ajabu????? kafuga Rasta kama Fashion au IMANI, jiulize hapo mkuu!!
 
Hamna udaku. Kwa nini udanganye kuwa huli nyama halafu huko machakani majiani wajipinda?? Shurti watu wawe wanasimamia wanayoyasema pamoja na kwamba haikuwalazimu kujiapiza mbele za wanajamii.

Alitangaza wapi kuwa hali nyama?!. Je umeishaenda huko kuulizia kama hajatengua kauli hiyo? Ama lazima akueleze wewe hapo? Tuwe watu makini vinginevyo TUTAPUUZWA TU.
 
Hivi u-rasta ni kutokula nyama?, nyama gani sasa manake kuna watu wanajiita "vegetarians" wao uwa wanakula "vags" tu lakini haimaanishi hawawezi kuto kula "nyama" pale "vag" zinapokuwa hadimu au bei yake kuwa juu kuliko "nyama"...
 
aliyesema hali ni yeye
aliyeanza kula ni yeye
so what iz the problem?
hii mabo peleka kule mitaani
hapa siyo mahali vitu vya namna hiyo
labda kwa unao fanana nao mawazo
tena shindwa kabisaaaaa usirudie tena
maana kula ama kutokula hakutuathili chochote
 
Kala nyama, so what....guys find some more important things to bring to the jamvi.....
Quite right. Kuwa na nywele za kirasta siyo sawa na kuwa na imani za kirasta. Kwa watu wengine ni fashion au identity statement. Umekosa cha kuongea si unyamaze tu.
 
Back
Top Bottom