brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Bilionea Rostam Aziz kupitia kampuni yake ya Taifa Gas ameingia kuidhamini klabu ya Yanga.
Kampuni hiyo inatarajiwa kutangazwa Leo kwenye sherehe za kilele Cha wiki ya wananchi itakayofanyika uwanja wa Taifa
Taifa Gas itakuwa kwenye mikoni ya jezi za Yanga
Kampuni hiyo inatarajiwa kutangazwa Leo kwenye sherehe za kilele Cha wiki ya wananchi itakayofanyika uwanja wa Taifa
Taifa Gas itakuwa kwenye mikoni ya jezi za Yanga