Hapo Hakuna Mpira Ni Ujanjaujanja Tu Jamani
Hii Mikataba ya GSM na Taifa Gas ,kwa Yanga mbn kimya kimya sanaHongera Yanga, hongera Rostam, ila swali langu ni je, huu udhamini ndio ile pesa ulisema utachangia? Au kuna mchango na ya udhamini mbalimbali ??
Mbona serikali inaingia mikataba ya Siri hamuijui na Bado mnaishabikia acheni unafki[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Timu ya wananchi kwa tusiojua ila wenyekujua wanasema timu yao hongera yanga kwa kuingia mikataba ya siri baadae tusisikie mmoja amezurumiwa lkn
Mkuu hata siku moja adui hawezi kukuombea neema!!!Mbona serikali inaingia mikataba ya Siri hamuijui na Bado mnaishabikia acheni unafki[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Bilionea Rostam Aziz kupitia kampuni yake ya Taifa Gas ameingia kuidhamini klabu ya Yanga.
Kampuni hiyo inatarajiwa kutangazwa Leo kwenye sherehe za kilele Cha wiki ya wananchi itakayofanyika uwanja wa Taifa
Taifa Gas itakuwa kwenye mikoni ya jezi za YangaView attachment 1171975
Atakuwa anadhamini chakula cha wachezajiHongera Yanga, hongera Rostam, ila swali langu ni je, huu udhamini ndio ile pesa ulisema utachangia? Au kuna mchango na ya udhamini mbalimbali ??
Yupo kwenye lile jengo pendwa anacheza bao yaani hata upepo ukipita anageuka teh teh hapa hazulumiwi mtuHapo mzee akilimali anajipanga,,sasa hivi ataamsha mwenge,labda wamuwai na akaunt ya chapchap akaunti ya crdb,
Mbona serikali inaingia mikataba ya Siri hamuijui na Bado mnaishabikia acheni unafki[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Inapendeza...
Jamaa anarudi taratibu taratibu... alafu 2020 ana sponser uchaguzi.
wanatumia mpira kujisafisha wanajua kabisa ukitaka kuwateka watanzania wateke kupitia mpira