Kwa kuanzia imechukua muda mrefu sana kuload. Sijui ni kwa nini!
Alafu ile picha pale pembeni ambayo na dhani ndio logo mbona ukufuta vizuri kwa photoshop ile backgound? maana sehemu iliyo nkwenye background ya gray imechongwa vibaya!
Nitarudi baadaye niiangalie zaidi maana nakimbia mahali nina kazi mbali na keyboard, CPU na monitor.[/QUOT
Yah hiyo logo ina tatizo naona hata rangi yake haendani na web. Nitaifanyia kazi Nadhani inachukua muda kuload sababu ya ma Image kibao. unaweza kunimbia imechukua kama sekunde ngapi?
thanks
Kweli not bad kwa kujifunza nadhani ikifika june mwaka huu nitakuwa nina sifa za kujiita ka web developer class B teh teh
Mh nadhan kuna tatizo, natumia simu hapa ila haifunguki hii link mkuu
Duh pole sana aksante kwa feeback kumbe bado sitakiwi kujisifu. Je umejaribu kuview without CSS. Shukrani kwa feedback
Isafishe hiyo logo isiwe na huo weupe kwenye transparency. Inaload slow kwasababu ya host wa bure nadhani.
NetTuts+??
Wewe unanipa matumaini mi nilidhanini sababu ya image kumbe hili sio tatizo kubwa.
Anyway ikimalika na kuridhika kabisa na nikiona kuna umuhimu wa kuiendeleza nitatafuta za kulipia hawa hsting wanaitwa
Free Hosting, Paid Hosting, Reseller Hosting, VPS and Dedicated Servers