TFF mnapaswa kuzionea huruma timu zinazo shiriki ligi kuu, haingii akilini Yanga wapo kanda ya ziwa wiki mbili kwa mechi mbili Yanga kacheza na Mwadui tar.17/09 mechi ijayo tar.24/09 kwa nn hamkupanga wacheze tar 21/09 ili kuokoa ghalama za timu kukaa hotelini? Yaani wiki mbili mechi mbili kwa nini timu inavyo enda ukanda huo isimalize mechi zao zote huko?