LGE2024 Ratiba ya CCM Uchaguzi na uteuzi wa wa wa wagombea serikali za mitaa sijaelewa

LGE2024 Ratiba ya CCM Uchaguzi na uteuzi wa wa wa wagombea serikali za mitaa sijaelewa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,134
Reaction score
4,124
Ratiba ya ccm ipo mkononi hapa inasema tarehe 21 na 22 mwezi huu wagombea kuchukua na kurudisha fomu.

Tarehe 23 kupiga kura kwa wanachama katika matawi(kura za maoni)

Tarehe 24 kamati ya siasa tawi kujadili wagombea, tarehe 25 kata na 26 wilaya kujadili wagombea.

Swali nini maana ya kuanza kupiga kura kabla ya wagombea kuchujwa?

Vipi imani ya wanachama kama mgombea waliomchagua akakatwa jina mbele ya kamati zitakazokalia?
Naomba kuelewesha.
 
hata wakijadiliwa hadi ikulu bado UIZI Hawataacha, UONGO Hawataacha, DHURMA Hawataacha, UNAFKI Hawataacha, kifupi hawana jipya haloo!!. Wala haina haja ya kujadiliwa au kwakuwa wanajigawia maposho kwenye kumjadili mgombea waache waendelee na upigaji
 
Back
Top Bottom