Ratiba ya Diamond Platnumz hadi December

Opera Min

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
890
Reaction score
658
Hii ndio maana halisi ya kuwa msanii wa Kimataifa,full booked!!
 
Ratiba ikiisha naona viwanda vitajengwa

Ova
 
Weka na yakibakuli mkuu acha kupendelea wcb tu [emoji2]
Ali Kiba ratiba yake ipo na haina show za ndani ya Tanzania hata moja. Show nyingi anafanyia nje ya Afrika. Sema hapendi kufanya show off mitandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ