Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hta Lisu na Mwalimu wakitoka pemba wanagawanyika wanakuja kukutana Mpanda mwishoni huko.ccm tuu ndio makamu na rais wamegawanyika. wengine wanafuatana
ccm tuu ndio makamu na rais wamegawanyika. wengine wanafuatana
Hapana, ni JEURI YA KODI zetu Mkuu.Na hii ni kuonyesha kuwa CCM wana Akili, wamejipanga, wanafanya mambo Kisayansi na Kiuweledi na ndiyo maana watashinda mapema sana tu.
Kumbe na wewe huwa unakurupuka eee?? Kwahiyo ulitaka wafanye kama ccm ndo waonekane wana akili?? Kila chama kinajua kitafanya fanyaje kampeni zake.Na hii ni kuonyesha kuwa CCM wana Akili, wamejipanga, wanafanya mambo Kisayansi na Kiuweledi na ndiyo maana watashinda mapema sana tu.
Na hii ni kuonyesha kuwa CCM wana Akili, wamejipanga, wanafanya mambo Kisayansi na Kiuweledi na ndiyo maana watashinda mapema sana tu.
CCM kimekata pumzi kihoja, kwa msaada wa tume kinatafuta tu huruma za kina mama. Makada wametambua kuwa kuna maeneo mgombea wao hatakuwa tena na hoja za kuwaambia wananchi.Jamhuri ya muungano wa Tanzania Tume ya taifa ya uchaguzi
Ratiba ya kampeni za wagombea wa kiti cha rais na makamu wa rais