Ratiba ya kombe la ASFC {FA CUP} hatua ya robo fainali na nusu fainali

Sasa kama ndio timu zilizozidi uwezo katika hizo zingine unategemea nini Mtani.

Japo pia sijipi 100% kupita kirahisi sababu vitimu vidogo vinajua sana kukaza waeza zaiona dhaifu ila mwisho wa siku matokeo yakapatikana mwisho kabisa wa mchezo.
Hata wakaze vipi mtani hawawezi kutoboa gharama za kushiriki mashindano ya kimataifa hawataziweza labda KMC kidogo kwa sababu wao ni serikari.
.
Ila 98% fainali ni Yanga na Azam
 
Kawaida ya Ratiba huwa ina matukio, eneo la tukio, tarehe, na muda sasa huu uhari ulioandika hapa tuuite nini?
 
Hizo fixtures zinapatikanaje? Maana inaonyesha kuna mmoja anaandaliwa mazingira.
Lakini hata hivyo, inaweza ikashindikana tena kama inavyoonyesha kushindikana kwenye ligi kuu.
 
Kwa jinsi hii michuano ilivyo safari ya azam na yanga inaweza ishia hapa mkabaki mnalia kama watoto kagera sugar vs azam kagera win, alliance vs yanga alliance win.
 
Nusu singida vs alliance ,, Kagera vs azam fainal Singida vs Kagera then kagera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…