Ratiba ya kuonesha bunge la katiba imebadilishwa??

Ratiba ya kuonesha bunge la katiba imebadilishwa??

Fredrick Mmari

Senior Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
144
Reaction score
37
Kwa anayejua naomba anijuze tafadhali maana asubuhi kupitia TBC 1 nilimsikia mtangazaji anasema bunge la katiba litaanza kurushwa sa 8,lakini mpaka sasa sa 8:37 sioni chochote zaidi ya kipindi cha "This Week In Perspective"

Vipi wadau,ratiba imebadilishwa nini??
Naomba ufafanuzi kwa ajuae
 
Back
Top Bottom