Fredrick Mmari
Senior Member
- Jul 8, 2013
- 144
- 37
Kwa anayejua naomba anijuze tafadhali maana asubuhi kupitia TBC 1 nilimsikia mtangazaji anasema bunge la katiba litaanza kurushwa sa 8,lakini mpaka sasa sa 8:37 sioni chochote zaidi ya kipindi cha "This Week In Perspective"
Vipi wadau,ratiba imebadilishwa nini??
Naomba ufafanuzi kwa ajuae
Vipi wadau,ratiba imebadilishwa nini??
Naomba ufafanuzi kwa ajuae