Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Ligi yetu imeanza j4 tarehe 15/08, leo timu zinacheza mechi ya pili cha kushangaza pana timu hazijacheza hata mechi moja ya ligi, hii inakaaje.
Natambua tuna timu nne zinatuwkilisha kimataifa na mbili zimecheza mechi tayari kwa maana ya Azam na Simba, sasa Yanga na Singida Big Stars vipi?
Natambua tuna timu nne zinatuwkilisha kimataifa na mbili zimecheza mechi tayari kwa maana ya Azam na Simba, sasa Yanga na Singida Big Stars vipi?