Ratiba ya Maandamano nchi nzima kupinga Mswada Rais kutia saini mswada marekebisho ya katiba mpya

Ratiba ya Maandamano nchi nzima kupinga Mswada Rais kutia saini mswada marekebisho ya katiba mpya

Sitachoka

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
3,030
Reaction score
1,306
Habari, JF


Yakiwa yamesalia masaa machache watanzania wakiongozwa na muungano wa vyama vitatu vya upinzani nchini (CHADEMA, NCCR-MAGEUZI, NA CUF) Kuandamana nchi nzima kupinga Rais kutia saini mswada wa sheria ya marekebisho ya katiba mpya, kumekuwepo na hali ya sintofahamu kama maandamano hayo yatakuwepo kama yalivyotangazwa katika mkutano wa hadhara viwanja vya jangwani au hayatakuwepo kutokana na viongozi hao wakuu wa vyama hivyo kuombwa na Rais kukaa meza moja ya mazungumzo(bungeni) ili kupata muafaka wa kitaifa,


~Wananchi tunataka kujua je, maandamano yako pale pale?


~na kama yapo palepale ratiba ikoje kila mikoa?

~na kama yameahirishwa tuambiwa na kwanini?


naomba kuwasilisha
 
Maandamano yameahirishwa ili kupisha mazungumzo na raisi ila mazungumzo yakishindikana maandamano yako pale pale. Hili linafanyika kuondoa dhana kuwa wapinzani ni waleta vurugu wameitwa lakini hawataki ili katiba mpya isipatikane. Tunawa pre empty Dentist na Nape kwanza kwa kukubali wito wa raisi
 
Habari, JF


Yakiwa yamesalia masaa machache watanzania wakiongozwa na muungano wa vyama vitatu vya upinzani nchini (CHADEMA, NCCR-MAGEUZI, NA CUF) Kuandamana nchi nzima kupinga Rais kutia saini mswada wa sheria ya marekebisho ya katiba mpya, kumekuwepo na hali ya sintofahamu kama maandamano hayo yatakuwepo kama yalivyotangazwa katika mkutano wa hadhara viwanja vya jangwani au hayatakuwepo kutokana na viongozi hao wakuu wa vyama hivyo kuombwa na Rais kukaa meza moja ya mazungumzo(bungeni) ili kupata muafaka wa kitaifa,


~Wananchi tunataka kujua je, maandamano yako pale pale?


~na kama yapo palepale ratiba ikoje kila mikoa?

~na kama yameahirishwa tuambiwa na kwanini?


naomba kuwasilisha
ile ilikua tishia nyau tu unacheza na kitu chenye ncha kali wewe
 
ile ilikua tishia nyau tu unacheza na kitu chenye ncha kali wewe

aliyeongopa maandamano no kikwete siyo wapinzani hasa chadema hatuogopi risasi wa mambomu wa maji ya kuwasha...
 
102_6487.jpg
 
Ukiwa na akiri kama za wafuasi wa chadema ujue umelaaniwa na siku zako si nyingi hapa duniani na mbinguni
 
Ukiwa na akiri kama za wafuasi wa chadema ujue umelaaniwa na siku zako si nyingi hapa duniani na mbinguni

ukiwa na akili za viongozi wa ccm una dhambi ambazo toba yake inaweza kuchukua karne nzima na bado usisamehewe ukaishia motoni.
 
WAMESHATANGAZA MAANDAMANO HAKUNA, nilikuwa nayaasubiria sijui kwa nini walikubali kwenda ikulu kunywa juisi na kababu.
 
Back
Top Bottom