Ratiba ya Mitihani Kidato cha 4: Kenya Vs Tanzania

Sioni tofauti ya msingi. Seychelles na Mauritius zinasifika kwa kuwa na elimu Bora Africa, check mitaala yao.
 
Sioni tofauti ya msingi. Seychelles na Mauritius zinasifika kwa kuwa na elimu Bora Africa, check mitaala yao.
Huwezi kulinganisha elimu ya Tanzania na Kenya, ya Kenya ipo vizuri.

Baada ya akina hao Mauritius wanaofuata ndio group la nchi ambazo na

Kenya ipo.
 
Huwezi kulinganisha elimu ya Tanzania na Kenya, ya Kenya ipo vizuri.

Baada ya akina hao Mauritius wanaofuata ndio group la nchi ambazo na

Kenya ipo.

Ubora wao unaonekana vp kwenye hiyo ratiba?
 
Mleta mada kasema ratiba inathibitisha hilo, hapo ndo swali langu limejikita. Mambo ya huko nje is another topic.
Hata hiyo ratiba yao imesheheni practicals na masomo tofauti tofauti sio kama hiyo ya TZ
 
Hata hiyo ratiba yao imesheheni practicals na masomo tofauti tofauti sio kama hiyo ya TZ
Waliojisajili JF kutukana kama jingalao (kutukana ni kujidhalilisha na hadhi yako inashuka tu hata kama hatukuoni - hata kama kila tusi na kejeli unalipwa), wanaohubiri kuondoa zero na four, kupata one kali n.k hawaoni hilo.
Pia hawajui mtoto wa Kitanzania akienda Kenya anarudia darasa.
 
Kenya kwenye elimu ya msingi na sekondari wametuacha mbali toka zamani.


Tazama kila mwaka best student wa kenya wangapi wanapewa scholarships na ivy league university eg Havard, Yale kisha linganisha na best student wetu wa necta A level wenye division 1 pts 3 wanavyoishia udsm kugombana na bodi ya mikopo
 
Inasikitisha sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…