Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, litafanya mkutano wa Bajeti kuanzia Machi 30 hadi Juni 30.
Katika Siku ya Kwanza ya Mkutano, Bunge litatambua Mchango wa Rais wa Tano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na kuenzi maisha yake.
Pia wameazimia kumpongeza Rais wa Sita wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
Katika Siku ya Kwanza ya Mkutano, Bunge litatambua Mchango wa Rais wa Tano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na kuenzi maisha yake.
Pia wameazimia kumpongeza Rais wa Sita wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.