Aeronautical
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 217
- 396
Habari wanamichezo hapa JamiiForums,
Ratiba ya robo fainali ya UEFA imetoka.
Naona chama langu Barcelona tuna wakati mgumu, naamini Manchester city atafika mbali sana.
Ratiba ya robo fainali ya UEFA imetoka.
Naona chama langu Barcelona tuna wakati mgumu, naamini Manchester city atafika mbali sana.