BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
RATIBA YA ZIARA YA MBUNGE WA LUDEWA MHE. JOSEPH KAMONGA JIMBONI KWAKE.
Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mkoani Njombe Joseph Kamonga atakuwa na ziara ya Wiki 1 kwenye Kata 7 Jimboni kwake Ludewa kuanzia Ijumaa hii Agosti 12, 2022 hadi Alhamisi Wiki ijayo Agosti 18, 2022.
Itakuwa ni ziara ya kutoa mrejesho wa aliyoyafanya Bungeni, kuhamasisha Sensa na kuhamasisha maendeleo.
#KaziInaendelea
#CCMImara
Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mkoani Njombe Joseph Kamonga atakuwa na ziara ya Wiki 1 kwenye Kata 7 Jimboni kwake Ludewa kuanzia Ijumaa hii Agosti 12, 2022 hadi Alhamisi Wiki ijayo Agosti 18, 2022.
Itakuwa ni ziara ya kutoa mrejesho wa aliyoyafanya Bungeni, kuhamasisha Sensa na kuhamasisha maendeleo.
#KaziInaendelea
#CCMImara