Ratiba za SGR sio rafiki

Ratiba za SGR sio rafiki

K A B U R U

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
891
Reaction score
1,199
Kutoka Dom treni ya kwanza saa 11:15 alfajiri halafu baada ya hapo kuna moja ya kitajiri saa 2 asubuhi ambayo haiendani na uwezo wa wateja, mara nyingi haijai except peak demand. Utasubiri mpaka saa nane ndio upate ordinary train.

Swali langu ni kwa nini kusiwe na ordinary train kwenye saa 1 au 3 au 5 asubuhi? Kwa Nini nasema hivi? Kwanza mabasi mengi toka Kanda ya ziwa yanakuwa yanaingia Dom asubuhi hivyo soko lipo. Pili tupunguze msongamano wa magari toka Dom to DAR.

Tatu tupunguze ajali za barabarani. Nne, tupunguze mateso ya abiria kusafiri muda mrefu barabarani. Tano tuwe na ratiba rafiki ukifika Dar uendelee na ratiba zako ingali mapema. Sita tutumie ipasavyo Kodi yetu iliyotumika kununua treni zisizotumika na kupaki Bure pale Pugu, Soga na Ruvu. Sijui Kadogosa atanisikia!
 
Kutoka Dom treni ya kwanza saa 11:15 alfajiri halafu baada ya hapo kuna moja ya kitajiri saa 2 asubuhi ambayo haiendani na uwezo wa wateja, mara nyingi haijai except peak demand. Utasubiri mpaka saa nane ndio upate ordinary train. Swali langu ni kwa nini kusiwe na ordinary train kwenye saa 1 au 3 au 5 asubuhi? Kwa Nini nasema hivi? Kwanza mabasi mengi toka Kanda ya ziwa yanakuwa yanaingia Dom asubuhi hivyo soko lipo. Pili tupunguze msongamano wa magari toka Dom to DAR. Tatu tupunguze ajali za barabarani. Nne, tupunguze mateso ya abiria kusafiri muda mrefu barabarani. Tano tuwe na ratiba rafiki ukifika Dar uendelee na ratiba zako ingali mapema. Sita tutumie ipasavyo Kodi yetu iliyotumika kununua treni zisizotumika na kupaki Bure pale Pugu, Soga na Ruvu. Sijui Kadogosa atanisikia!
Unafikiri kua masikini ni sifa?
 
Aliyepanga hizo ratiba za SGR ana pacent yake kutoka Kwa wamiliki wa mabasi
Yani unasema ipangwe ratiba nzuri Ili route za Buss zipungue from Dom to Dar?
Yani wewe unahisi wao hawajui wanachokifanya?

Kila mtu anakula Kwa urefu wa kamba yake haijalishi wangapi wataumia hilo ndio agizo from mjengo mweupe
 
Hazipo constant
Wiki iliyopita kurudi nyuma kulikua na ordinary ya saa tatu asubuhi
Ya saa 11 asubuhi imepanda 10k juu ghafla hata sijaona tangazo, ina maana kuanzia ilivyoanza kazi nusu mwaka tu ndio tayari bei zimepanda, baada ya miaka mitatu itakuaje?
 
Waliopanga wamefuata mazoea bila kuangalia uhalisia hata kwenye nauli za Ile royal wamebug.
Ukifuatilia kati ya treni zote Ile ya saa nane ndo inawahi kujaa ikifuatiwa na ya saa Tatu kutokea dar,kwa martini hiyo mchana kunakuwa na abiria wengi sana na kwa Sasa hivi watumiaji wa treni hawapendi kuamka usiku au kufika usiku, wengi wao wanataka wasafiri mchana huku wakicheki maandhari ya nje kitu ambacho kwa treni zetu ni Ile ya saa nane na saa Tatu ndo utapata full view ya maandhari huku zingine zote ukila nusu safari gizani.
Laiti trc kama wanataka kufanya huduma kweli wangeweka atleast treni ya kutoka Dom ziwepo kwa mtindo huu
Dom_dar saa mbili, ya saa sita na saa t
Tisa na wakabadilisha Ile expres ikwa ni mchongoko ila wakadjust nauli yaani ikawa ni 60,000 kwa 100,000 na ikawepo ya jion ya kumi na mbili .
Na kwa kutoka dar Dom ikawa ni vivyo hivyo.
King ine nadhani peak days wangekuwa wanatenga mabehewa spesho kwa ajili ya morogoro na kwa wale abiria wa kukurupukia safari.
 
Kutoka Dom treni ya kwanza saa 11:15 alfajiri halafu baada ya hapo kuna moja ya kitajiri saa 2 asubuhi ambayo haiendani na uwezo wa wateja, mara nyingi haijai except peak demand. Utasubiri mpaka saa nane ndio upate ordinary train.

Swali langu ni kwa nini kusiwe na ordinary train kwenye saa 1 au 3 au 5 asubuhi? Kwa Nini nasema hivi? Kwanza mabasi mengi toka Kanda ya ziwa yanakuwa yanaingia Dom asubuhi hivyo soko lipo. Pili tupunguze msongamano wa magari toka Dom to DAR.

Tatu tupunguze ajali za barabarani. Nne, tupunguze mateso ya abiria kusafiri muda mrefu barabarani. Tano tuwe na ratiba rafiki ukifika Dar uendelee na ratiba zako ingali mapema. Sita tutumie ipasavyo Kodi yetu iliyotumika kununua treni zisizotumika na kupaki Bure pale Pugu, Soga na Ruvu. Sijui Kadogosa atanisikia!
Kadondoka amekusikia...

...Ni Hayo Tu!
 
Back
Top Bottom