RAV4 1999 3S Engine

lemky

Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
80
Reaction score
31
Naonbeni msaada viongozi ... hii gari jana imetokea tu ghafla na kuanza kubugia mafuta balaa ... na hiyo hiyo jana ilikuwa engine inavujisha oil ndio tukafungua oil seal na kubadili ... sasa hili la kunywa sana mafuta ndio limenishtua wakuu ... na kabla ya jana ilikuwa iko vizuri sana kwa unywaji wa mafuta ....

Msaada Wakuu .....
 
Sasa unataka sisi tuisaidie gari yako kunywa mafuta au oil?
 
Samahani sana mkuu mimi sio mtaalam wa hayo mambo isipokua niliwahi kupatwa na hilo tatizo la kuilalamikia gari kuhsu ulaji mbaya wa mafuta ila baadae nikagundua kuwa Kuna baadhi ya lav4 hususani zile za UK huwa zinasoma maili badala ya kilometa kama tulivyozoea hivyo jalibu kuliangalia hilo kwanza yaweza kuwa ni sababu kuwa unaposema nimetembea kilometa 5 kumbe ulitakiwa ufanye 5 x 1.6 = 8 hapo ungebaini kuwa umetembea km 8 swala ambalo ni la kawaida kwa lav4.
Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…