Car4Sale Rav4 inauzwa

Mkuu, Elezea zaidi. Ni Automatic au Manual, vipi kuhusu Mileage ? Ni vema ukaweka na bei hata ya kuanzia. Wengine ni wagumu wa kupiga piga simu. Ila ukiona hapa kila kitu inarahisisha kufanya maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara za madalali ni ngumu mno asee
 
Na iko wapi? Makambako, Lushoto...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…