Ila Rav tajwa ni ya engine ya 1ZZ ile ya 1800cc which is a better choice!Watu wengi wanaogopa magari ya D4 engine ila ni Kwa vile mafundi wetu wengi hawataki kuumiza vichwa vyao kwenye magari ya kisasa
Wanawatishia watu ila kiukweli ni gari nzuri sana
Unajua huku Arusha watu wengi hawanunui gari bila kutafuta ushauri Kwa mafundi So Utakuta fundi anakushauri ununue kile ki-rav4 Cha zamani 1998 chenye injini ya 3s na vinauzwa ghali sana hapa jijini Arusha ...sio chini ya 14 milioni
Ndio utajua Tz ujinga ni mwingi sanaView attachment 1968911
Wewe umesikia Kwa mtu au unayo?Ila Rav tajwa ni ya engine ya 1ZZ ile ya 1800cc which is a better choice!
Engine ya 1az ndio ina kimavi yani! Wameitengeneza kwa mfumo wa D-4 huo ambao unataka premium fuel na matunzo ya gharama oil za bei mbaya zile za elfu 90!
Ukiweka 20W 50 tu unachuma janga!
Unajua kwanini vilipewa jina la Rav 4 mchagaa au Rav 4Manka?Watu wengi wanaogopa magari ya D4 engine ila ni Kwa vile mafundi wetu wengi hawataki kuumiza vichwa vyao kwenye magari ya kisasa
Wanawatishia watu ila kiukweli ni gari nzuri sana
Unajua huku Arusha watu wengi hawanunui gari bila kutafuta ushauri Kwa mafundi So Utakuta fundi anakushauri ununue kile ki-rav4 Cha zamani 1998 chenye injini ya 3s na vinauzwa ghali sana hapa jijini Arusha ...sio chini ya 14 milioni
Ndio utajua Tz ujinga ni mwingi sanaView attachment 1968911
Mie gari nilio nayo inatumia hio engineWewe umesikia Kwa mtu au unayo?
Rav4 Massawe hioUnajua kwanini vilipewa jina la Rav 4 mchagaa au Rav 4Manka?