Asalaaam, huyo ndugu yako Bado hajajua utofauti au bei? Mbona mie naona swala hill LIPO UCHIII KABISA . Kama ndg yako ni Mzee anunue Harrier Ila kama ni kijana under 45 anunue RAV 4. Naomba kuwasilisha.Ndugu yangu anahutaji gari. Kati ya RAV4 na Harrier anahitaji ushauti
Ahahahah bab sema unastarlet bab ahahahaJamani
Sina gari na sitarajii na sina utaalamu wa magri.
Nachangia kama mtazamaji.
Ebwana Rav4 hizi model mpya za milioni 35 - 42 ziko vizuri.
Nina Tz 11 hii inapigwa maji tu, iko tayari kwa safari muda wote.Ahahahah bab sema unastarlet bab ahahaha
Rejea kauli yako ya awali, nanukuu " Sins gari sitarajii kununua gari na wala siyajui magari " mwisho wa kukunukuu. Alafu unasema RAV 4 Tens na bei take ya MILION 34 ahahahahahahaNina Tz 11 hii inapigwa maji tu, iko tayari kwa safari muda wote.
Anhaa by kuyajua nilimaanisha kama vile kujua strengths na weaknesses za gari husika.Rejea kauli yako ya awali, nanukuu " Sins gari sitarajii kununua gari na wala siyajui magari " mwisho wa kukunukuu. Alafu unasema RAV 4 Tens na bei take ya MILION 34 ahahahahahaha
Naomba uhusiano kati ya uzee na uchaguzi wa hayo magari kama ulivyoindicate.. NawasilishaAsalaaam, huyo ndugu yako Bado hajajua utofauti au bei? Mbona mie naona swala hill LIPO UCHIII KABISA . Kama ndg yako ni Mzee anunue Harrier Ila kama ni kijana under 45 anunue RAV 4. Naomba kuwasilisha.
Kama mtaalam wa magari utajua ila kama unajifunza basi endelea utafikia level hiyoNaomba uhusiano kati ya uzee na uchaguzi wa hayo magari kama ulivyoindicate.. Nawasilisha
Nime Google hizo MkuuHizi Hybrid zinachangamoto ya design. Body na Dashboard hazidumu sana kama 1st Generations