Ray aamua...

naomba nimjibu Ray niki quote kwako. sina hakika kama kuna watu walioishi na mama wa kambo wakaona machungu yake. naongea through experience. sio mama wa kambo wote of course. wako wenye mioyo ya dhahabu na wenye mioyo ya kishetani. mara nyingi baba humthamini mke mdogo pamoja na watoto wa mke mdogo hata asiowazaa yeye, mke mkubwa na watoto wake wote wanakua hawana maana mbele yake. hapo ndipo watoto wa mke mkubwa mnapokosa haki mbadala kutoka kwa baba yenu mzazi, shinikizo kubwa likitoka kwa bi mdogo ambaye hajawazaa. Kanumba hana laana ya baba kwa sababu baba alichojua ni kutoa mkojo, akazaliwa na biashara ikaishia hapo. alipopata jina, sasa ndio baba anajitokeza na kujifanya ni mwanae. chukulia Kanumba angekua chokoraa pale UWT/Morogoro Road, baba angemtambua? sana sana angetukanwa mama kua kamshindwa mtoto. acheni kuropoka kwa mambo ya familia za watu ambayo hamjui undani wake. RIP big daddy...

 
huyu Ray alikua anafuta mahali pa kuyeyusha donge lake naKanumba. Mungu ni mmoja tu. huyo baba suruali u-mungu kautoa wapi?

 
“Kiukweli pale Kanumba alikosea sana, huwezi kumsema mzazi wako. Baba ni Mungu wa duniani. Anatakiwa kuheshimiwa kwa namna yoyote,” alisema na kuongeza:

sasa hii ni kujitafutia laana.............mwelezeni ray hakuna miungu wengi yuko mmoja tu naye ni Yesu Kristu na hakuna Mungu mwingine............mzazi ni kiumbe............tu hawezi kuwa Muumba hata siku moja.......
 
Jamani RAY yupo right ingawa amekosea kwenye kusema Baba ni mungu wa duniani.

Ila kikubwa hata kama baba au mama walikutelekeza hapo mwanzo lakini bado ni wazazi wako tu. Ndio maana walisema kwenye bible waheshimu faza na maza ili upate maisha marefu mjengoni. Hawakuelezea status watakayonayo wazazi wako at that time ili uwape hiyo heshima.

Take care.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…