Aishi bila stress kwani amekufa? Kama upo hai lazima upitie changamoto hata kama ni kwenye ndoa.
Mbona yeye Ray anaolewa na yule tajiri wa mabasi ya Shabiby. Je atawezaje naye kuoa?
Yeye mwenyewe majanga matupu, no wonder why anapata wanawake type yake hiyo hiyo!!!
Nisikiaga jamaa amelala doro, sasa mbona yupo na chuchu? Au mambo ya viagra cjui
jamaa mbona analiwa jicho kivipi aoe?
Mbona yeye Ray anaolewa na yule tajiri wa mabasi ya Shabiby. Je atawezaje naye kuoa?
Huyu kamaliza dozi ya mbaazi kwanza? Maana aliumwaaaaaaaaaaa alikuwa anashinda kavalishwa nepi
Yap kuna kipindi mwili ulipungua akawa model kabisa,ni kazeze ni kazeze,gumzo gumzo kwa mabronzo,masistadu,walimu na wanafunzi.
Shabiby huyo huyo anamuoa b 12 ,wanaitanaga dodoma hotel wanabanjuana mpak basi, sass iv nasikia yupo n young dee
hahahahah hahah hahaha anatafuta complete outo service
Mkuu umeitibua asubuhi ya Sunday! Young dee! Young dee! Young dee!
Huyu huyu dogo rapper! Eeeh Mungu baba, tusamehe na atuepushe vizazi vyetu na shetani huyu!