Na sasa tunasubiri amwiige kufa ndo tumwamini ni mkaree wa kuiga!
hahaha kweli hii kali, umemsema lakin ebu kaangalie kati yao wawili nan alimtangulia mwenzake kununua gari la kifahari, kisha kachunguze kati yao nani alianzisha kampuni ya kutengeneza filamu akiwa wa kwanza then uone kama yote uliyo yaandika ni sahihi
kisukari una SUKARI!jamani si ungemwambia mwenyewe?na blog anayo.unavyoelezea ni kama yumo humu
kwani anavyosemegwa muke ya mudhungu mange humu inakuaje, ye pia si ana blog yake! muache adadavuliwe kama ilivyo ada! ni kweli anaboa, anamuiga sana kanumba! binafsi yangu sijawahi angalia movies zake na sitakaa nikaangalia!
wala sio siri hana credentials za kuwa level na the late kanumba sijui kama mwenyewe analijua hilo, kiusanii anajikongoja tuNakufagilia sana Ray jinsi unavoigiza bu sifagilii staili yako ya kushindana na kanumba.Unasubili kanumba afanye na wewe ufanye,nasikia kanumba alikuwa akinunua gari fulani na wewe lazima ununue hilo hilo,kanumba akianzisha blog na wewe unaanzisha hata,,alivoweka dawa kwenye nywele na wewe ukaiga..nk.*nisichopenda *zaidi *ni pale kanumba alivojiita THE GREAT wewe ukajiita THE GREATEST.Ukweli huna level ya kumfikia Kanumba kwa namna yoyote,kwa heshima ya marehem nasema badili hilo jina la THE GREATEST!
huyo alieweka hapa huo uz ana kila element za ushamba wa mawazo, ila kwakuwa kutoa mawazo ni haki yako vzur ila nahc huwez kuwaza sawasawa......rch the great
Hakuna the great wala the greatest jamani yani mtu kukaa mbele ya camera sebuleni au kupanda na kuendesha gari kuogelea ndo ugreat...sawaa cha nyumbani bt there is no great at al on what they did and what they can stil do jamani jamani ivi amuwatch kitu kama apocalyto,final destination and others yaani we actor uliyeact after editing na ukapewa copy ya filamu yako ukaona jinsi ulivyotolewa moyo unazimia...kanumba na ray hawawezi hata ile fearles factor ya etv tofauti ya kanumba na ray ni sauti,muonekano na form six ya kanumba thats al...