Ray atetea uamuzi wa kumvisha hereni mtoto wake ambaye ni wa kiume

YAN KWA LUGHA RAHIS
ZAMAN WATOTO WAKIUME WALIKUA
WANAVAA SAWA NA WA KIKE ?? KWAHIYO
NI SAWA??
 
Kama ni wa kwake amuue kama hajanyea debe
Unafananisha kumvisha hwreni ma kumuua?

You shouldn't compare apples with oranges out of context.

Nimeongelea kuua hapo juu. Soma thread.

Sasa wewe mtu baki anamvisha mwanawe hereni kinachomuuma kipi?
 
Hivi mtoto wa Will Smith, Jaden Smith anaendeleaje kwa sasa, last time nilimsoma kuwa anapenda kuvaa nguo za kike nikamuona kavaa sketi
 
Sasa kwa nini utoboe sikio uvae hereni uchore tattoo
Kwa sababu katiba, Univwrsal Declaration of human rights na Bob Marley, ukiachilia mbali wajuvi wa mahusiano ya kijamii, wote wanasema kila mtu aachiwe kuishi anavyotaka ili mradi hajavunja sheria na kumuingilia mwingine.

Ray angemtoboa sikio mwanao na kumvisha hereni wakati wewe hutaki angekuwa kakuingilia. Ungekuwa na haki ya kumsema kakosea.

Hajamtoboa mwanao. Kamtoboa wake.

Ukitaka kumpangia asimtoboe sikio mwanawe, akasema sawa, hatamtoboa kwa sharti na yeye akupangie amtoboe wako na kumvisha hereni, utakubali au utakataa?

Itakuwaje unataka kumpangia mtu mzima ambaye hajavunja sheria jinsi ya kumlea mwanawe?
 
Watu kwa kufwatilia vitu vyepesi bhana!!!!!!! ???

Ndio maana mapolisi wanakimbizana na wanyoa viduku kwasababu ya huu huu u-gorilla!!

Swala la Ray na mwanae limekuwa swala la umma mzima wa watanzania.

No wonder, mtu akiamua kufanya ushoga juu ya mwili wake mwenyewe inageuka kuwa mjadala na swala zito linalotikisa bara zima la Afrika!!

Teh......
 
Mtoto ni wa JAMII
Hapana. Habari za mtoto ni wa jamii zimeisha enzi za ujima.

Watoto wangekuwa wa jamii kusingekuwa na tofauti kati ya Feza Secondary na Mbavuzambwa Sekondari.
 
Hapana. Habari za mtoto ni wa jamii zimeisha enzi za ujima.

Watoto wangekuwa wa jamii kusingekuwa na tofauti kati ya Feza Secondary na Mbavuzambwa Sekondari.
Matabaka ya kibeberu ndio yanayotutenganisha
 
Matabaka ya kibeberu ndio yanayotutenganisha
Na ndiyo yashatutenganisha sasa. Kwa nini tunakataa ukweli?

Ray anataka kuishi Kinyamwezi kama celebrity. Ndivyo alivyoamua.

Anataka kumlea mwanawe aje kuwa kama Jayden Smith wa bongo, na hatimaye mtoto awe mcheza filamu.

Mkulima asiyejua habari za celebrities kwa nini anataka kumlazimisha Ray aishi kama mkulima? Wakati Ray hajamlazimisha mkulima kuishi kama celebrity.
 
Ukiwa maarufu Fanya mambo makubwa,ili ufahamike kwa good behavior kama kwenda kufanya usafi hospital
 
Huyu ana matatizo hata kama ni maarufu hivi hao wa ulaya wanafanyaga kama hayo. Halafu Ray ana kaushamba flani hivi huwa hakatoki na tabia nayo imekuwa ngumu kubadilika
 
Mtoto atakapoharibika baadae asianze kutafuta mchawi,kwa sasa hawezi elewa
 
YAN KWA LUGHA RAHIS
ZAMAN WATOTO WAKIUME WALIKUA
WANAVAA SAWA NA WA KIKE ?? KWAHIYO
NI SAWA??
Kwanini isiwe sawa? Watoto wa zamani si ndiyo hawa baba zetu wanaopanga hizi sheria? Au tunapangiwa na kina nani?
 
Hereni zina shida gani kwani?
 
Ulimbukeni wa dizaini ya wakina Ray, ni hatari zaidi ya bomu la Hiroshima.
 
sio kila kitu ni cha kuiga wewe mnywa maji mengi..
 
Naomba mfano wa huyo mtangazaji please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…