Huyo ray c kwanza ameshapona? Ukute yeye mwenyewe hajaacha sasa mgonjwa atamsaidiae mgonjwa mwenzie? Au kama vp Akaanze na lord eyez kama kweli ni mtu wa msaada. Yule aliyekua anamkatikia kiuno bila mfupa ndio aanze nae huko kwingine ni kutafuta sifa tu!