Hongera sana Ray C! Kumbe mamii ule wimbo wako wa mama ntilie sio mashairi tu ila umo kwenye hiyo shughuli?Na kwa utaalamu wako wa hizo shughuli za kukarangiza na ujasiriamali ukawashinda wengine walioomba hiyo tenda.Big up Super Lady!
Kwa hiyo mauno yale jukwaani bas tena? Dah ila angefanya collabo na mama nyoka aka jide ingefanya vzur, unajua muzik unalipa sana , sasa aanze umama ntilie tena dah ila atawez lakin kama amemaanisha
Ujue nashangaa sana wewe ni mtu wa pili kuniuliza hili swali,kwani kuna ajabu gani???mwenyewe juzi hapo kasema ana mke na mtoto pia usipende kufananisha maisha ya mtu na mambo anayofanya humu ni vitu viwili tofauti...kila kitu ni fake kuanzia ID