Ray C amuomba msamaha Zamaradi Mketema

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya: "Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!

Nilichogundua Mimi ni kwamba kumekuwa na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba Mara team nyani!naingea kutoka.

Moyoni kuwa watanzania tunasifika kwa kuwa na amani na upendo!sasa iweje tena tuishi maisha ya kuchukiana na ugomvi badala ya kuishi kwa amani?najua sisi wasanii tuna mashabiki wengi.

Na tunapenda na nnyie mnatupenda kwahiyo mnatakiwa kutupatanisha tunapogombana na si kutushabikia coz mnaposhabikia ugomvvi ndio mnapotufanya tupoteze muda kulumbana badala ya kutumia huo muda kufanya kazi zetu za sanaa kwa bidii tutangaze nchi yetu tunapoteza muda kulumbana,wenzetu wanaigeria wako mbali sana kwa sababu wanasapotiana sana!

Wasanii tuache bifu za kijinga na tutumie muda mchache tuliopewa na mola kufanya kazi zetu kwa bidii tutangaze nchi yetu ili vizazi vijavyo virithi bidii zetu,na naomba sana mashabiki wote msapoti mazuri tuyafanyayo" Ray C ameendelea kusema na kumwomba msamaha Zamaradi Mketema kama ifuatavyo : "Love u zama n sorry for everything keep doing wat u do best Zamaradimketema n hey dogo langu wemasepetu and my friend @new_kajala tusameheane na tupendane na tupige kazi Africa watutambue bana!!
 

Attachments

  • 1413271651089.jpg
    36.7 KB · Views: 2,324
Mmh!! Naona methadone inaanza kufanya kazi, kutendo cha kuanzisha biashara ya mgahawa na kuwaomba msamaha baadhi ya watu mliozinguana ni dalili tosha kuwa akili zimeanza kurudi, ila na wewe umenichekesha eti mara Team simba sijui mara team Nyani ahahahah, shaur zako we waanze tu si unawajua wenzio? Mi nina hamu kuwajua hao team simba na team nyani ndo akina nani.
 
Haya tuone kama watabadilika,maana ni kama ngozi.
 

Amefanya jambo la busara kuomba msamaha wakati mwingine sio kwamba umeshindwa bali ni hekima.
 
Amefanya jambo la busara kuomba msamaha wakati mwingine sio kwamba umeshindwa bali ni hekima.

Sasa sijui kwenye bongo fleva ndo ntolee maana alikuja na mbwe mbwe kibao za kutoa nyimbo mpya ila kabuma
 

Binamu huyu ni mwizi mwenye akili, nasikia Zama ndo anaolewa mazimaa, akiendeleza bifu atakula wapi?
Na huyo big boss atamsikia kwenye bombaa...lazima ajipendekeza ili zama asahau ili yeye awe mwizi wa kudumu...anaiba kama haibi vileeee.....Mjini mipango...Zama mulika mwiziiiiii.....
 

Maskini anatia huruma na mgahawa wake, kashaona zamaradi kampiga bao, sio type yake so kaaamua kuwa mpole tu, maskni ila si nilisikia kaokoka?
 
Maskini anatia huruma na mgahawa wake, kashaona zamaradi kampiga bao, sio type yake so kaaamua kuwa mpole tu, maskni ila si nilisikia kaokoka?

Nasikia aliokoka siku nyingii...Kasikia mwenzie anaolewa ndo akili imemkaa sawa.
Ila Zamaradi jembe, hadi kafanikiwa kuibinafsisha ile mali ya uma? Kweli usidharau wembamba wa reli....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…