Unambwembwe wewe!! kama le mutuz.
Hivi Rayc hizo picha ashaona anapendeza mno na huo wanja wake wa kichangudoa amekua kama diva kujipiga nusu nusu si ajipodoe vizurii tu
Yaani acha tu mimi ananikera kama nini,anatakiwa apake make up simple na ana mvuto mbona???
Ananikera anavyoanika mwili wake michirizi mitupu....
Huo unenee sababuu zamani alikua mzurii
Hahahaaa...ndio mali ya umma, kila kona ameacha mbegu...we hukumbuki walivyomgombania siku ya birthday yake...
Ila ndo soon inabinafsishwaa....itakuwa kupiga simu mwisho saa kumi na mbili...kama ofisi ya serikali vilee....heheheeeee!
Heaven on Earth njoo huku.
Sorry unamaanisha ikulu ya ubuyu au ile ya JK SAMAHANI KUULIZA SI UJINGA!!!!!!!Bina umeacha kazi ikulu au?????
Huyu si alisema JK babake..sasa mtoto wa Rais anauza ubwabwa na vibua mwananyamala kweli?
Hivi Rayc hizo picha ashaona anapendeza mno na huo wanja wake wa kichangudoa amekua kama diva kujipiga nusu nusu si ajipodoe vizurii tu
Ila bora mwenzie kazaa kidogo ana uhakika na maisha, ray c akalale tu, angezaa na ruge asingehangaika kuuza chakula mwananyamar, dah ray c wa watu, kafulia ndo anajifanya kawa mtu wa amani, pesa izi
Hahahaaa...ndio mali ya umma, kila kona ameacha mbegu...we hukumbuki walivyomgombania siku ya birthday yake...
Ila ndo soon inabinafsishwaa....itakuwa kupiga simu mwisho saa kumi na mbili...kama ofisi ya serikali vilee....heheheeeee!