Alijishauaje? Kila sehemu alijitangaza n kumuita kikwete baba, mfyuuu weny baba yao wametulia tulu ye kaz kujishaua ndo akazane na umama ntilie mtoto wa rais
ruge na zama ndoa inanukia..
Na hatorudia tena ule uzuri wa zamani....ray c alikua mzuri jamani basi tu
Madai yake sasa ivi eti mapedeshee wanamsifia ana shape ya kike zamani alikua havutii....
kamuaacha shadee?
kamuaacha shadee?
shadee vs B 12
shadee vs B 12
Mmmmh.....ya kweli haya ndugu yangu?
mzee mzima wa fursa ndo anakamatia shadee mpaka zamaradi kamnunia
Kwa hiyo b12 ndo mla makombo...ila ndoa Siku hizi imekua Kama muvi za bongo muvi Kila mtu anatakaoa.....
kuolewa mazima? kiko wapiBinamu huyu ni mwizi mwenye akili, nasikia Zama ndo anaolewa mazimaa, akiendeleza bifu atakula wapi?
Na huyo big boss atamsikia kwenye bombaa...lazima ajipendekeza ili zama asahau ili yeye awe mwizi wa kudumu...anaiba kama haibi vileeee.....Mjini mipango...Zama mulika mwiziiiiii.....
Umeamua kufukuakuolewa mazima? kiko wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]endiwoooUmeamua kufukua
Mkuu upoKwani binamu walikua na bifu kisa nini?
Kweli kabisa mkuu maisha yenyewe hatujui kesho hakuna kitu kizuri kama ndugu kuishi kwa amani na kupendana kueshimiana na kuombana msahaha pale tunapowakosea wengine. Hongera sana Ray C.Kafanya jambo jema sana Binadam anatakiwa kuwa na Aman ktk maisha yanini mambo ya uhasama maisha yenyewe mafupi na Magum kukicha afadhali ya jana
Aksante Ilo ndo kubwa kwa Mwanadam anaejua nini neno MAISHAKweli kabisa mkuu maisha yenyewe hatujui kesho hakuna kitu kizuri kama ndugu kuishi kwa amani na kupendana kueshimiana na kuombana msahaha pale tunapowakosea wengine. Hongera sana Ray C.