engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Mkuu kuna mahali nilisoma kwamba tayari ameanzisha asasi ya kuelimisha vijana maadhara ya dawa za kulevya. Huenda akawa balozi mzuri wa kupambana na matumizi ya dawa hizi ila nayo ni safari ndefu kwake kwani mtandao wa madawa ya kuelevya ni mkubwa na una nguvu na ndio maana hata umeshindikana kutokomezwa duniani kote. Labda tusubiri baada ya kukamatwa kwa Guzman kama kutapunguza huo mtandao.
Ye afanye yake atoe elimu kwa mateja wenzie swala la kunyongwa ye mbona hajanyongwa
akwende zake alilazimishwa
Akajaribu bongo movie maana music hana jipya tena mvuto hanaa..
Anafanya yake na haya ni maoni yake yanaweza kufuatwa ama la.si lazima yafuatwe.
Hayo maoni angeshughulikiwa nayo yeye kwanza anyongwe ndo wafate wengine
Hihiiii binamu umetishaaa
Eti baada ya yeye kupona tena kwa kutibiwa na ------
ndo anatoa maoni watu wanyongwe
mi naona anyongwe yeye kwanza
na atakuwa hajapona huyo
Eti baada ya yeye kupona tena kwa kutibiwa na ------
ndo anatoa maoni watu wanyongwe
mi naona anyongwe yeye kwanza
na atakuwa hajapona huyo
kwa hiyo unawaunga mkono wauza unga? maana wanakuona humu JF,watakutafuta uwabebee mzigo kwenda China,then unapotea JF na bongo kwa ujumla na sisi kazi yetu ni kusema R.I.P
R.i.p ni haki ya kila mtu sio wauza sembe tu...
kwani unajuaje sibebi?
apana,kama unabeba acha mkuu
he he he nicheke mie
weekend njema engineer.
tunawategemea jamani,taifa hili lenu,nyie ndio nguvu kazi ya hii nchi jamani,sie tumeshazeeka hivyooooooooooo.
Weka mbali na watoto-dawa za kulevya zinauwa
hahahahahahahahahahahahahaha