Sparkle boy
Member
- Oct 19, 2012
- 75
- 8
Jamani huyu dada nampenda sana,her fantastic music,swagg but not how she behave.After she posted her pics on inst. i was like thanx God she is back,aliacha mashabiki wengi mno welcome back..tumuombee zaidi..
Hata kama amerudi unadhani mziki wa sasa atauweza tena?
Hiyo ndo finito tena. Akae bench atafute shughuli mbadala.
Umri ushaenda atafute watoto alee.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Naunga mkono hoja...
Lakini watanzania ni watu wazuri,bora atoe hata single mbili tu,tumchangie apate kiinua mgongo.
Nanga ishatua ile sheikh...
Hakuna jipya atakalolifikisha kwa hadhira ya Muziki.
Hata kama amerudi unadhani mziki wa sasa atauweza tena?
Hiyo ndo finito tena. Akae bench atafute shughuli mbadala.
Umri ushaenda atafute watoto alee.
Ray C ameshaacha kula zile masogange kabisa?
🙂 JF the best place to be...tumuombee kwa nani?