hapa ni baada ya kubadilika alipopata mke majuzi...
View attachment 20855
View attachment 20858
View attachment 20859
View attachment 20860
hapa akiwa na mke wake bi ramla.
msisahau huyu ni mwigizaji, labda anaigiza ati!
msisahau huyu ni mwigizaji, labda anaigiza ati!
Duuuuuuuh
Hongera yake.
Kwa hiyo amesilimu?
heh heh heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeHuyu Dogo anafosi tumsomee ITIQUAF na sio lingine.Malaya kama huyu kusilim ni sawa na Ngamia kupita katika Tundu la sindano.
Na tulishamwonya aachane na utani na Dini ataki kusikia.Ijumaa hii nntafanya presentation pale Mtambani nisikie Maustazi wenzangu wanasema nini juu ya hili.kabla atujatua tamko rasmi
Ajaoa this is just MOVIE SCENE in Acting.
kama sio muvi hongera zake
Huyu Dogo anafosi tumsomee ITIQUAF na sio lingine.Malaya kama huyu kusilim ni sawa na Ngamia kupita katika Tundu la sindano.
Na tulishamwonya aachane na utani na Dini ataki kusikia.Ijumaa hii nntafanya presentation pale Mtambani nisikie Maustazi wenzangu wanasema nini juu ya hili.kabla atujatua tamko rasmi
Ajaoa this is just MOVIE SCENE in Acting.