Ray hatimaye apata mke!

Duuuuuuuh
Hongera yake.
Kwa hiyo amesilimu?
 
Wakuu huyu Ray mara nyingi alikuwa akihudhuria kanisa la mzee wa Upako.Nadhani hii ni Shooting tu.
 
msisahau huyu ni mwigizaji, labda anaigiza ati!

Ni kweli jamaa kaoa kwa siri sana. Bibie anaitwa ramla. Ray kabadili dini kumfata bibie. Kwenye blogu yake ameweka kila kitu wazi.
Hongera Ray, ila mke mzuri hivo mbona utakoma kummaintain,.....Angalia mafisadi wasikusaidie kumpiga sopu sopu.
 
Huyu Dogo anafosi tumsomee ITIQUAF na sio lingine.Malaya kama huyu kusilim ni sawa na Ngamia kupita katika Tundu la sindano.
Na tulishamwonya aachane na utani na Dini ataki kusikia.Ijumaa hii nntafanya presentation pale Mtambani nisikie Maustazi wenzangu wanasema nini juu ya hili.kabla atujatua tamko rasmi
Ajaoa this is just MOVIE SCENE in Acting.
 
heh heh heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

mbona alisomewaga albadili kipindi ile alipotoa muvi ya talaka tatu hadi leo anadunda?? ameaga kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…