Ray J anatafuta kick harusi ya Kim na Kanye

Varbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,121
Reaction score
885
Ray J atawazawadia maharusi Kanye west and Kim kadashian dolla 50000 Kama zawadi kwa harusi Yao pesa hizo zinatokana na mauzo ya sex tape ya Kim K and Ray J.

Huyu jamaa Mie namuona Kama hamnazo
 
hamnazo kivip sasa..ile c kama movie tu waliact pamoja sasa kumpa faida kama zawad mweznie kuna ubaya gan
 
hamnazo kivip sasa..ile c kama movie tu waliact pamoja sasa kumpa faida kama zawad mweznie kuna ubaya gan

Mbona kama haijakaa vizuri, kwa hiyo asingeolewa faida angeisikilizia kwenye redio tu?
 
Anamrusha roho Kanye...I HIT IT FIRST...:first:
 
hiyo movie ya ray j na kim iko kweli nipeni link nicheki wana jf
 
Haya bana ampe tu au atutumie huku bongo ili hawa dengue washughulikiw
 
roho inamuuma, alijua keshamuharibia na hataolewa tena
 
Haya bana ampe tu au atutumie huku bongo ili hawa dengue washughulikiw

Clip kama hiyo hamuwezi kuiona. Wameizuia kwenye mitandao. Halafu pamoja na kukesha kote jf, mnaulizia kí clip cha kim na ray j!!! 😕 Basi mitandao hamuijui, ni watu wa kuja nyie, shobo nyingi.
 
Dah,ile sex tape noma sana

Ila mi namkubali sana muhuni Kanye wala hanaga tym na kale kajamaa kashamba hata Kim mwenyewe huwa anakapotezea sema ndo kanakomaa kuteleza kwenye ganda la ndizi...
 
Clip kama hiyo hamuwezi kuiona. Wameizuia kwenye mitandao. Halafu pamoja na kukesha kote jf, mnaulizia kí clip cha kim na ray j!!! 😕 Basi mitandao hamuijui, ni watu wa kuja nyie, shobo nyingi.

Kwani mi nimeiomba au umependa tu kuniquote"""""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…